Hilo swali ukiwauliza wenye hiyo michezo utapata majibu mazuri zaidi[emoji5]
Mimi experience yangu ni huyo tu mmoja kwa miezi6+ sasa ila wajuzi zaidi wanasema mimba inapoingia mnakua mnajua, kama mimi na baba k hiyo siku tulijua kabisa na hata kabla ya kupata the next p alinambia pima’ nikapima imo
Hapa Sasa ndo panaponichanganya sijui kwa sababu sijawahi kufanya.
Anyway nipe uzoefu nijifunze kabla sijaenda kwa cute eyes kumpa ushauri wa mawili matatu, jamaa alijuaje kwamba ndo imeingia hiyo
Achana na Hilo Ni kupoteza muda kutafuta hizo comment.
Kuna ile Hali tu mtu unajikuta unakuwa interested kufatilia kila comment ya mtu flani kokote kule aliko. Ndo imenikuta hiyo Hali.
Bado tuko pamoja
Achana na Hilo Ni kupoteza muda kutafuta hizo comment.
Kuna ile Hali tu mtu unajikuta unakuwa interested kufatilia kila comment ya mtu flani kokote kule aliko. Ndo imenikuta hiyo Hali.
Bado tuko pamoja
Hapa Sasa ndo panaponichanganya sijui kwa sababu sijawahi kufanya.
Anyway nipe uzoefu nijifunze kabla sijaenda kwa cute eyes kumpa ushauri wa mawili matatu, jamaa alijuaje kwamba ndo imeingia hiyo
Lyauke, mfungukie tuu binti mweleze shida yako kwa ukweli mtupu bila kutumia chembe ya uongo. Huwezi kutafuta comment ambayo haijawahi kuwepo.
Kupitia search engine, ukiandika jina la member yoyote na jina la alipo comment, comments zote zinakuja, mimi ni mzee, dingi fulani hivi, sina mambo ya mabinti, mambo yangu ni yale ya wazee kama Faiza na sio vibinti.
Ila pia wengine tumezeekea humu jf, nikukumbushe
Enzi zangu za ujana nikiwa under 50 hapo ni kabla sijawa babu, sasa mimi ni babu!.
Wanabodi, Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?. For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx over a litre mpaka kitanda chote kinaloa, shuka zinaloa hadi godoro linaloa?! Na kwa vile mhusika...
Wanabodi, Kwa vile leo ni weekend, hakuna ubaya kuburudika na picha za blacks beauty ambapo katika wasifu wa Black Beauty, jee, did you know kuna two different types of Black Beauties?!. Kuna Blacks ambao ni black inside out na kuna blacks ambao ni black outside but inside red!. Hao black...
Wanabodi, Kama umejaaliwa kipaji cha kupenda kwa dhati, sio vibaya kuwafundisha na wengine kupenda kwa dhati hivyo kuimarisha ndoa despite all the odds!, hii maana yake hakuna ndoa isiyo na matatizo hata madogo madogo!. Hivi ninavyoandika hapa, sijalala usiku kucha nikimsubiri wife ambaye ndio...
sitasahau maumivu ya chuchu baada ya kujifungua aisee niliumwa chuchu mpaka vidonda alf unaambiwa dawa ni kumyonyesha apo apo kwny kidonda jamn mtoto alikuwa akiamka tu moyo unafanya paa mapigo ya moyo yanaenda kazi namyoyeshaje mtoto..sitasahau ilo aisee
Mkuu Lyauke Kitundu, heshima ni kitu cha bure, mimi ni verified member, baba na babu over 50s, mwenye watoto na wajukuu, sijawahi kuita vibinti chemba!. Tuheshimiane! .
P
Najua Wewe Ni big brother from another mother heshima yako broo..
sikumaanisha hivyo ulivyomaanisha ndio maana nikasema sio kwa ubaya, Kuna thread moja hivi ya kitambo ulikuwa unamuulizia Binti mmoja ukatoa na namba akutafute. Sasa akili yangu ikawa imekariri wrongly jina la muhusika mpaka leo sijui kwa Nini hata. Nadhani Ni kwa sababu hii ID ya huyu hapa huwa inanihuisha..take it easy joanah
Ni hivi Sasa ndio nagundua nilichanganya majina kwenye hii thread
Najua Wewe Ni big brother from another mother heshima yako broo..
sikumaanisha hivyo ulivyomaanisha ndio maana nikasema sio kwa ubaya, Kuna thread moja hivi ya kitambo ulikuwa unamuulizia Binti mmoja ukatoa na namba akutafute. Sasa akili yangu ikawa imekariri wrongly jina la muhusika mpaka leo sijui kwa Nini hata. Nadhani Ni kwa sababu hii ID ya huyu hapa huwa inanihuisha..take it easy joanah
Ni hivi Sasa ndio nagundua nilichanganya majina kwenye hii thread
Mimi yangu ilikuwa ni harufu ya Kitunguu saumu, yaani kila mtu niliyeongea nae alinuka mdomo [emoji23][emoji23]. Nilikuwa siongei na watu ili nisisikie midomo ikinuka. Kuna siku nilimwambia baba mtoto atoke nyumbani kisa ananuka mdomo, aligoma basi nikaondoka mimi saa 5 usiku 🤣🤣. Akanitafuta na kunipata usiku huo then tukarudi home 🤣.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.