Lyaule Kitundu
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 758
- 1,029
Unajua huwa nikiangalia muandiko wa mtu naweza kabisa kuipata taswira ya muonekano.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa Sasa ndo panaponichanganya sijui kwa sababu sijawahi kufanya.Hilo swali ukiwauliza wenye hiyo michezo utapata majibu mazuri zaidi[emoji5]
Mimi experience yangu ni huyo tu mmoja kwa miezi6+ sasa ila wajuzi zaidi wanasema mimba inapoingia mnakua mnajua, kama mimi na baba k hiyo siku tulijua kabisa na hata kabla ya kupata the next p alinambia pima’ nikapima imo
Achana na Hilo Ni kupoteza muda kutafuta hizo comment.Umechanganya ID,sio mimi
Sijui chochote kuhusu hiyo ID ya Pascal Mayalla ....sijawahi kujihusisha in any way na hiyo ID so ni ngumu yeye kuniita
Ni nani huyo Pascal Mayalla hadi akuaminishe jinsia ya mtu?
Achana na Hilo Ni kupoteza muda kutafuta hizo comment.
Kuna ile Hali tu mtu unajikuta unakuwa interested kufatilia kila comment ya mtu flani kokote kule aliko. Ndo imenikuta hiyo Hali.
Bado tuko pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa Sasa ndo panaponichanganya sijui kwa sababu sijawahi kufanya.
Anyway nipe uzoefu nijifunze kabla sijaenda kwa cute eyes kumpa ushauri wa mawili matatu, jamaa alijuaje kwamba ndo imeingia hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaa yan mimi natafuta second born mwaka wa pili huu hamna kitu nasubili miujiza ya bwana
Naomba nipokee hyo quotation ya kukupatia mtoto... Ziko sperm zimekaa zinasubiri kunasa kwa anaetakaSanaa yan mimi natafuta second born mwaka wa pili huu hamna kitu nasubili miujiza ya bwana
mcheck wema sepetu mkuu😉Naomba nipokee hyo quotation ya kukupatia mtoto... Ziko sperm zimekaa zinasubiri kunasa kwa anaetaka
Sent using Samsung s10
Lyauke, mfungukie tuu binti mweleze shida yako kwa ukweli mtupu bila kutumia chembe ya uongo. Huwezi kutafuta comment ambayo haijawahi kuwepo.
Kupitia search engine, ukiandika jina la member yoyote na jina la alipo comment, comments zote zinakuja, mimi ni mzee, dingi fulani hivi, sina mambo ya mabinti, mambo yangu ni yale ya wazee kama Faiza na sio vibinti.
Ila pia wengine tumezeekea humu jf, nikukumbushe
Enzi zangu za ujana nikiwa under 50 hapo ni kabla sijawa babu, sasa mimi ni babu!.
Anatomical Question on Squirting: Why Only Some and Why So Much Fluid?
Wanabodi, Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?. For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx over a litre mpaka kitanda chote kinaloa, shuka zinaloa hadi godoro linaloa?! Na kwa vile mhusika...www.jamiiforums.com
Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!.
Wanabodi, Kwa vile leo ni weekend, hakuna ubaya kuburudika na picha za blacks beauty ambapo katika wasifu wa Black Beauty, jee, did you know kuna two different types of Black Beauties?!. Kuna Blacks ambao ni black inside out na kuna blacks ambao ni black outside but inside red!. Hao black...www.jamiiforums.com
Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
Wanabodi, Kama umejaaliwa kipaji cha kupenda kwa dhati, sio vibaya kuwafundisha na wengine kupenda kwa dhati hivyo kuimarisha ndoa despite all the odds!, hii maana yake hakuna ndoa isiyo na matatizo hata madogo madogo!. Hivi ninavyoandika hapa, sijalala usiku kucha nikimsubiri wife ambaye ndio...www.jamiiforums.com
P
Experience ninayo ila nina watatu tu. Na wa tatu ndio ana miez 8 so bado nakumbuka vizuri.Utakua mzoefu,watoto si pungufu ya wa4
Hii kitu isikie Tu jamani,usiombe ikupate.sitasahau maumivu ya chuchu baada ya kujifungua aisee niliumwa chuchu mpaka vidonda alf unaambiwa dawa ni kumyonyesha apo apo kwny kidonda jamn mtoto alikuwa akiamka tu moyo unafanya paa mapigo ya moyo yanaenda kazi namyoyeshaje mtoto..sitasahau ilo aisee
Basi baba inatosha mkuu dah0
Mkuu Lyauke Kitundu, heshima ni kitu cha bure, mimi ni verified member, baba na babu over 50s, mwenye watoto na wajukuu, sijawahi kuita vibinti chemba!. Tuheshimiane! .
P
Duh, ni kweli nilimtafuta huyo member ila sio binti huyo ni a mother of 5!.Basi baba inatosha mkuu dah
Najua Wewe Ni big brother from another mother heshima yako broo..
sikumaanisha hivyo ulivyomaanisha ndio maana nikasema sio kwa ubaya, Kuna thread moja hivi ya kitambo ulikuwa unamuulizia Binti mmoja ukatoa na namba akutafute. Sasa akili yangu ikawa imekariri wrongly jina la muhusika mpaka leo sijui kwa Nini hata. Nadhani Ni kwa sababu hii ID ya huyu hapa huwa inanihuisha..take it easy joanah
Ni hivi Sasa ndio nagundua nilichanganya majina kwenye hii thread
Nina Dharura ya SOS, Namtafuta Member GFSONWIN Urgently, ASAP, Mwenye Number Yake Anitumie 0754 270403, Please
Mode please do the needful, huu uzi umetimiza wajibu wake, nimeishampata. Pwww.jamiiforums.com
Samahani Tena mkuu Mayallah, ila Kuna namna umenisaidia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko serious au watania???Mi yangu niliitoa.nina experience ya kutumia misoprostol tu [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app