nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
hali ni tete kwa wafugaji maana mtu anarundika mayai hawezi kuuza mwishowe anashindwq kulisha kuku wake.
soko la mayai liko congo,kuna mzungu iringa anaitwa hoffmann yeye anakusanya maelfu ya trey za mayai inatia fusoni huyoo congo,na inamlipa balaa,