babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Source ya mwandishi si nzuri.
Ni maajabu kwa mwandishi kupata mazungumzo ya simu ya hao marais Museveni na Kagame.
Pia chanzo ni wanaompinga Kagame na kutaka support ya Museveni.
Museveni amekataa kuwakabidhi viongozi wa M23 kabla DRC na MONUSCO kuwacharaza makundi mengine ya FDLR na ADF-NALU.
Pomoja na nia ya kutaka kuonyesha uzuri au ubaya wa Kagame, mwandishi anatakiwa kuwa na uthibitisho wa anachokiandika.
Anjo
Tatizo JK yeye aliropoka badala ya kumshauri faragha.
Source ya mwandishi si nzuri.
Ni maajabu kwa mwandishi kupata mazungumzo ya simu ya hao marais Museveni na Kagame.
Pia chanzo ni wanaompinga Kagame na kutaka support ya Museveni.
Museveni amekataa kuwakabidhi viongozi wa M23 kabla DRC na MONUSCO kuwacharaza makundi mengine ya FDLR na ADF-NALU.
Pomoja na nia ya kutaka kuonyesha uzuri au ubaya wa Kagame, mwandishi anatakiwa kuwa na uthibitisho wa anachokiandika.
Anjo
Acha ushabiki kikwete was never wrong at any point, kagame alikuwa na issue zake moyoni, just try to be neutral and use common sense
Tatizo JK yeye aliropoka badala ya kumshauri faragha.
Haujielewi wewe!!!ukweli huwa haupingwa kwa cheap reasons kama zako,na ujue kuwa hiyo source ni authorized siyo kama ww unayejiunga mtandaoni na kuanza kumsupport kagame!!!!you must be m23 member ww siyo bure!
Asante sana Murutongore kwa pole zako. Ila kuna kitu kimoja inabidi uelewe kuwa migororo ya nchi jirani inatuathiri na imekuwa ikituathiri kwa miaka mingi kwa kuigeuza nchi yetu kuwa kimbilio la wakimbizi wa mataifa mbalimbali ikiwemo Rwanda, Uganda, Burundi, DRC, Somalia, Zimbabwe, South Africa, Mozambique, Malawi na mengineyo. Na kila wanapokuja wamekuwa wanasababisha matatizo ya kiuchumi, kijamii na kiutamaduni kwa nchi yetu. Ndio maana inabidi mtuelewe tunapowashauri mkae na wapinzani wenu muongee kwani lengo letu ni moja tu kuwa na amani kwenye huu ukanda wetu ili tujikite kwenye kuubadilisha uchumi wa nchi zetu na kuboresha maisha ya wananchi. Sisi tunabishana na kupingana bila kupigana ndio maana kila inapotokea kutokuelewana kati ya chama tawala na wapinzani Rais wetu huwakaribisha Ikulu kufanya mazungumzo ya kutatua matatizo na mara zote tumekuwa tukifikia muafaka. Mnaweza pia kujaribu hilo. Nelson Mandela asingekubali kukaa na wauwaji wa waafrika na watu waliomfunga yeye binafsi kwa miaka ishirini na saba (yaani makaburu) leo hii Afrika Kusini isingekuwa hii tunayoiona. Kagame anaweza kujifunza mambo mengi toka kwa Nelson Mandela.Hivi huko kwenu hamna matatizo ya kutatua? Mfano ujambazi...mlisema eti wanyarwanda ndio wanafanya ujambazi huko maeneo ya kanda ya ziwa lakini hivi majuzi nimesikia basi moja la takwa lilitekwa abiria wakasafishwa vizuri tu....sasa sijui hao majambazi walitoka huku kwetu wakavuka mpaka na silaha mpaka wakafika singida na kufanya ujambazi huo? Pili, lakini kwanza niwape pole watanzania kwa kumpoteza huyo msomi aliyevamiwa na majambazi sasa sijui na hao majambazi ni "wanyarwanda"?
Asante sana Murutongore kwa pole zako. Ila kuna kitu kimoja inabidi uelewe kuwa migororo ya nchi jirani inatuathiri na imekuwa ikituathiri kwa miaka mingi kwa kuigeuza nchi yetu kuwa kimbilio la wakimbizi wa mataifa mbalimbali ikiwemo Rwanda, Uganda, Burundi, DRC, Somalia, Zimbabwe, South Africa, Mozambique, Malawi na mengineyo. Na kila wanapokuja wamekuwa wanasababisha matatizo ya kiuchumi, kijamii na kiutamaduni kwa nchi yetu. Ndio maana inabidi mtuelewe tunapowashauri mkae na wapinzani wenu muongee kwani lengo letu ni moja tu kuwa na amani kwenye huu ukanda wetu ili tujikite kwenye kuubadilisha uchumi wa nchi zetu na kuboresha maisha ya wananchi. Sisi tunabishana na kupingana bila kupigana ndio maana kila inapotokea kutokuelewana kati ya chama tawala na wapinzani Rais wetu huwakaribisha Ikulu kufanya mazungumzo ya kutatua matatizo na mara zote tumekuwa tukifikia muafaka. Mnaweza pia kujaribu hilo. Nelson Mandela asingekubali kukaa na wauwaji wa waafrika na watu waliomfunga yeye binafsi kwa miaka ishirini na saba (yaani makaburu) leo hii Afrika Kusini isingekuwa hii tunayoiona. Kagame anaweza kujifunza mambo mengi toka kwa Nelson Mandela.
PK vs JK...naona kama zilikuwa ngumi za kuku,wameshambuliana na sasa wanatizamana.
NOW WATCHING....
PK vs YM.......mmoja hapa kashapigwa tayari hata kabla hajaingia katika pambano lenyewe.
"Nlikuwepo":bolt:
Vipi bado unaendelea na msimamo wako au umebadilika? Magufuli huuuyooooo kwa "rafiki" yake KagameFor this Kagame is no where to go and its jus a matter of time to his end...and to be true Museven anang'ata na kupuliza.
And i also doughty bout Collision of willing referring to ICC and the Kagame issue.
Hakuna tena pambano saizi Kagame anapigiwa saluti na wanajeshi wa Tanzania. Things changes meenhilo pambano kati ya jk na pk limeshafanyika huko goma na pk kapigwa knockout round ya kwanza kabisa, je hizi siku za karibuni umeshawasikia wakina koba,muto, nk wakibeza jw tena!!!na kuna mdau kanitonya kuwa zile export za mbao na coltan hakuna tena!!!