MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
wanahifadhi vitu kama vibibi vizeeWale wazee wa takwimu, utashangaa wanaleta takwimu zao za miaka ya 70 ili tu kuipinga hiyo hatua aliyofikia Fiston Kalala Mayele.
Yaani mayele mkali kuliko Mahrez? Ngoja tumshawishi Mahrez aje yanga[emoji599]...BREAKING NEWS
Mshambuliaji wa klab ya Yanga, Fiston Mayele ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Africa mwezi April tuzo kutoka katika jarida maarufu la michezo Africa #foot_africa.
[emoji1078] Fiston Mayele 29%
[emoji1062] Iliman Ndiaye 28%
[emoji1062] Vicent Abubakar 18%
[emoji1026] Riyad Mahrez 12%
#teamofcitizens
Kwakweli Ligue ya bongo ni hatare Kwa kubrand wachezaji
Kamuulize mdaka mishale aliuona mshale wa kibu?Huyu ndo klayn fiston de Halland Mayele......kiboko ya makoloView attachment 2607285
Utawasikia mwaka 196o mchezaji wa makolo aliwahi chaguliwa na magwiji wa kabumbu duniani akiwemo pele daa π .Wale wazee wa takwimu, utashangaa wanaleta takwimu zao za miaka ya 70 ili tu kuipinga hiyo hatua aliyofikia Fiston Kalala Mayele.
π€£π€£π€£π€£Mwaka 1904 makolo walichukua hii tuzo
Ndo nini? Hujatoa maelezo yanayoelewekaBado mtoto kwenye soka mkuu
Eeee bhana eee ! mayele kamzidi hadi Mahrez ! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji599]...BREAKING NEWS
Mshambuliaji wa klab ya Yanga, Fiston Mayele ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Africa mwezi April tuzo kutoka katika jarida maarufu la michezo Africa #foot_africa.
[emoji1078] Fiston Mayele 29%
[emoji1062] Iliman Ndiaye 28%
[emoji1062] Vicent Abubakar 18%
[emoji1026] Riyad Mahrez 12%
#teamofcitizens
Kwakweli Ligue ya bongo ni hatare Kwa kubrand wachezaji
Umehamia Yanga lini wewe Kolo! baki huko huko robo na roboMimi yanga lakini Timu yetu wenye akili ni wawili tu Mzee KIKWETE na SANDAY MANARA Compyuter.
Sisi wengine woote ni mazuzu.....
Mchezaji hajapata tuzo mnatudanganya.
Mzee wa kutetema Mayele......
Esalie bier....
Ndio ujinga gongowazi wanataka kujiaminisha.Mrukarukaji asie na namba hata kwenye timu ya Taifa ya Congo DRC.Yaani mayele mkali kuliko Mahrez? Ngoja tumshawishi Mahrez aje yanga
Katika zile 2-0 alibandua ngapi? πNa ataendelea kuwabandua[emoji23][emoji23]
Palopowashinda makolo ni ligi ya mabingwa Afrika na walipo utopolo ni ligi ya shirikisho Afrika.Lkn ndiye kinara pale mjini CAF......palipowashinda makolo[emoji23][emoji23]