Akili ya kutofautisha usipokuwa nayo ni tatizo.Palopowashinda makolo ni ligi ya mabingwa Afrika na walipo utopolo ni ligi ya shirikisho Afrika.
Hadi hapo unaona utofauti mkubwa kabisa.
Utopolo walipashindwa ligi ya mabingwa Afrika mapema sana ila makolo wakaendelea hadi zikabaki timu 8 bora Afrika.
2-1Katika zile 2-0 alibandua ngapi? [emoji16]
Au umesahau? [emoji16] [emoji16][emoji16]
Na huyu ndo kibu d mkandaji kiboko ya kinyesi fc.
Huyu yeye husomba tuzo za magazeti tu,mwaka juzi alibeba tuzo ya mwanaspoti,na ile ya majira,...hizo za caf huwa anachukua chama tuNdo jarida gani hilo??
Nilijua CAF
Kumbe jarida la hapo lubumbashi
Kama ww ni mwananchi......jua wewe ni geniusMimi yanga lakini Timu yetu wenye akili ni wawili tu Mzee KIKWETE na SANDAY MANARA Compyuter.
Sisi wengine woote ni mazuzu.....
Mchezaji hajapata tuzo mnatudanganya.
Mzee wa kutetema Mayele......
Esalie bier....
Kinara pale loser cup,ungesema hvyo.Lkn ndiye kinara pale mjini CAF......palipowashinda makolo[emoji23][emoji23]
Kweli pamoja na kushikiwa akili unawezaje kumlinganisha Mahrez na uchafu.Ni ujinga ulioje na gongowazi wenzake wanamuunga mkono.Ukivimbiwa mihogo mibichi uwezo wa kufikiri unapungua.Kinara pale loser cup,ungesema hvyo.
Zinapigiwa "kula" na watu.Anachofikiri mjinga ndio kinamchomtokea.Mr kolo... kumbuka hizi tuzo znapigiwa kula na watu
Unaweza Kuta confederation ndo Kuna timu ngumu kuliko champions...ambapo nlikutana na kina vipers na horoyaPalopowashinda makolo ni ligi ya mabingwa Afrika na walipo utopolo ni ligi ya shirikisho Afrika.
Hadi hapo unaona utofauti mkubwa kabisa.
Utopolo walipashindwa ligi ya mabingwa Afrika mapema sana ila makolo wakaendelea hadi zikabaki timu 8 bora Afrika.