Mayele aipa ushindi Yanga, matumaini kibaoooni shangwe kubwa kwa wana Yanga

Mayele aipa ushindi Yanga, matumaini kibaoooni shangwe kubwa kwa wana Yanga

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Ni katika mchezo wa kujiandaa na klabu bingwa afrika dhidi ya washindi wenzao wa pili wa ligi ya Nigeria rivers utd ambapo Yanga ilishinda goli moja dhidi ya timu ngumu kabisa ya kihistoria iitwayo Pan african

Matokeo hayo yamezidi kuwapa matumaini wapenzi wa yanga ambayo juzi pia iliifunga team ngumu ya Friends rangers goals 3 kwa moja

Kongole kwa uongozi wa Yanga chini ya CEO SENZO, CEO genius kabisa afrika ambaye inabidi CEO wa simba akajifunze kwake jinsi ya kuendesha team kiuweledi ikiwepo kuiweka kambi na logistics zote za maandalizi ya michuano mikubwa,yanga na Senzo wamejipambanua kama team iliyopo serious na michuano mikubwa na lazima wachukue ubingwa wa frika au kufika fainali haswa ukichukulia kwamba wamemsajili manara

Nikiwepo kama shuhuda wa mchezo nilifurahishwa na jinsi makambo alivyokuwa akihaha uwanjani dhidi ya team hiyo ngumu ya Pan african na almanusura afunge ila shuti lake liligonga mwamba

***********************************

Yanga yaichapa Pan African, Mayele aendelea kutupia​



SUNDAY SEPTEMBER 05 2021​

yanga pic

Summary

  • Mchezo huo umekuwa kipimo cha tatu kwa Yanga kabla timu hiyo haijacheza dhidi ya Rivers United ya Nigeria katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali.

Yanga imeendelea kupata mechi za kirafiki na jioni hii imefanikiwa kupata ushindi mwembamba dhidi ya Pan African.

Bao la kipindi cha kwanza la mshambuliaji Fiston Mayele limetosha kuihakikishia Yanga ushindi huo katika mchezo wao wa pili wa kujipima nguvu tangu wakutane na Zanaco ya Zambia katika kilele cha wiki ya mwananchi ambapo Yanga ililala kwa mabao 2-1.

Mayele alifunga bao hilo kwa ufundi akimnyanyulia kipa wa Pan aliyetoka kuja kuzuia shambulizi hilo lililotokana na mpira mrefu wa beki wa Yanga.

Bao hilo la Mayele linakuwa la pili katika mechi ya pili mfululizo akitangulia kufunga bao moja wakati Yanga ikishinda mabao 3-1 dhidi ya Friends Ranger.
Mshambuliaji Heritier Makambo hakuwa na bahati ya kufunga baada ya kuingia kipindi cha pili kufuatia kupoteza nafasi ya wazi shuti lake likigonga mwamba.

Yanga bado inaendelea kucheza mechi za kirafiki sambamba na mazoezi kwa lengo la kujiweka tayari kabla ya kukutana na Rivers United ya Nigeria katika mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Timu hizo zitakutana Septemba 12 katika Uwanja wa Mkapa kabla ya kurudiana wiki moja mbele nchini Nigeria.
 
Unaleta matokea baada ya kushinda mbona hii game hamkuitangaza before
Ni katika mchezo wa kujiandaa na klabu bingwa afrika dhidi ya washindi wenzao wa pili wa ligi ya Nigeria rivers utd ambapo Ynga ilishinda goli moja dhidi ya timu ngumu kabisa ya kihistoria iitwayo Pan african
Matokeo hatyo yamezidi kuwapa matumaini wapenzi wa yanga ambayo juzi pia iliifunga team ngumu ya Friends rangers goals 3 kwa moja

Kongole kwa uongozi wa Ynga chini ya CEO SENZO, CEO genius kabisa afrika ambaye inabidi CEO wa simba akajifunze kwake jinsi ya kuendesha team kiuweledi ikiwepo kuiweka kambi na logistics zote za maandalizi ya michuano mikubwa,ynga na Semzo wamejipambanua kama team iliyopo serious na michuano mikubwa na lazima wachukue ubingwa wa frika au kufika faianli haswa ukichukulia kwamba wamemsajili manara

Nikiwepo kama shuhuda wa mchezo nilifurahishwa na jinsi makambo alivyokuwa akihaha uwanjani dhidi ya team hiyo ngumu ya Pan african na almanusura afunge ila shuti lake liligonga mwamba

***********************************
  1. Mwanaspoti
  2. Soka

Yanga yaichapa Pan African, Mayele aendelea kutupia​



SUNDAY SEPTEMBER 05 2021​

yanga pic

Summary

  • Mchezo huo umekuwa kipimo cha tatu kwa Yanga kabla timu hiyo haijacheza dhidi ya Rivers United ya Nigeria katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali.
ADVERTISEMENT

By Khatimu Naheka
More by this Author

Yanga imeendelea kupata mechi za kirafiki na jioni hii imefanikiwa kupata ushindi mwembamba dhidi ya Pan African.

Bao la kipindi cha kwanza la mshambuliaji Fiston Mayele limetosha kuihakikishia Yanga ushindi huo katika mchezo wao wa pili wa kujipima nguvu tangu wakutane na Zanaco ya Zambia katika kilele cha wiki ya mwananchi ambapo Yanga ililala kwa mabao 2-1.

Mayele alifunga bao hilo kwa ufundi akimnyanyulia kipa wa Pan aliyetoka kuja kuzuia shambulizi hilo lililotokana na mpira mrefu wa beki wa Yanga.

Bao hilo la Mayele linakuwa la pili katika mechi ya pili mfululizo akitangulia kufunga bao moja wakati Yanga ikishinda mabao 3-1 dhidi ya Friends Ranger.
Mshambuliaji Heritier Makambo hakuwa na bahati ya kufunga baada ya kuingia kipindi cha pili kufuatia kupoteza nafasi ya wazi shuti lake likigonga mwamba.

Yanga bado inaendelea kucheza mechi za kirafiki sambamba na mazoezi kwa lengo la kujiweka tayari kabla ya kukutana na Rivers United ya Nigeria katika mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Timu hizo zitakutana Septemba 12 katika Uwanja wa Mkapa kabla ya kurudiana wiki moja mbele nchini Nigeria.
 
Ni katika mchezo wa kujiandaa na klabu bingwa afrika dhidi ya washindi wenzao wa pili wa ligi ya Nigeria rivers utd ambapo Ynga ilishinda goli moja dhidi ya timu ngumu kabisa ya kihistoria iitwayo Pan african
Matokeo hatyo yamezidi kuwapa matumaini wapenzi wa yanga ambayo juzi pia iliifunga team ngumu ya Friends rangers goals 3 kwa moja

Kongole kwa uongozi wa Ynga chini ya CEO SENZO, CEO genius kabisa afrika ambaye inabidi CEO wa simba akajifunze kwake jinsi ya kuendesha team kiuweledi ikiwepo kuiweka kambi na logistics zote za maandalizi ya michuano mikubwa,ynga na Semzo wamejipambanua kama team iliyopo serious na michuano mikubwa na lazima wachukue ubingwa wa frika au kufika faianli haswa ukichukulia kwamba wamemsajili manara

Nikiwepo kama shuhuda wa mchezo nilifurahishwa na jinsi makambo alivyokuwa akihaha uwanjani dhidi ya team hiyo ngumu ya Pan african na almanusura afunge ila shuti lake liligonga mwamba

***********************************
  1. Mwanaspoti
  2. Soka

Yanga yaichapa Pan African, Mayele aendelea kutupia​



SUNDAY SEPTEMBER 05 2021​

yanga pic

Summary

  • Mchezo huo umekuwa kipimo cha tatu kwa Yanga kabla timu hiyo haijacheza dhidi ya Rivers United ya Nigeria katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali.
ADVERTISEMENT

By Khatimu Naheka
More by this Author

Yanga imeendelea kupata mechi za kirafiki na jioni hii imefanikiwa kupata ushindi mwembamba dhidi ya Pan African.

Bao la kipindi cha kwanza la mshambuliaji Fiston Mayele limetosha kuihakikishia Yanga ushindi huo katika mchezo wao wa pili wa kujipima nguvu tangu wakutane na Zanaco ya Zambia katika kilele cha wiki ya mwananchi ambapo Yanga ililala kwa mabao 2-1.

Mayele alifunga bao hilo kwa ufundi akimnyanyulia kipa wa Pan aliyetoka kuja kuzuia shambulizi hilo lililotokana na mpira mrefu wa beki wa Yanga.

Bao hilo la Mayele linakuwa la pili katika mechi ya pili mfululizo akitangulia kufunga bao moja wakati Yanga ikishinda mabao 3-1 dhidi ya Friends Ranger.
Mshambuliaji Heritier Makambo hakuwa na bahati ya kufunga baada ya kuingia kipindi cha pili kufuatia kupoteza nafasi ya wazi shuti lake likigonga mwamba.

Yanga bado inaendelea kucheza mechi za kirafiki sambamba na mazoezi kwa lengo la kujiweka tayari kabla ya kukutana na Rivers United ya Nigeria katika mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Timu hizo zitakutana Septemba 12 katika Uwanja wa Mkapa kabla ya kurudiana wiki moja mbele nchini Nigeria.
Watu wanajua kuroga nyie, yaani kabisa hapa wenzetu wanaona wako kwenye maandalizi ya CAF CL!!! Wonders shall never end
 
Mkuu malizia na kibwagizo cha mzee m'bad!.



Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh
 
Nikiripoti toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a Mzee TOZI , mzee M BAD kabisa kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa,wazee wa bandari meli hiyooooo pooooooh
Hahahhaahahaaaaaaaa meli hiyooooo watoto weupeweupe wenye tamaa ya pesa tunapiga tu
 
Duuh....

Kweli tutawafunga wanaijeria goli 2?!!

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Duhh unajipima Kwa timu ya ndondo halafu unamtambia mshindi wa pili wa ligi ya Nigeria? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Utopolo jamani
 
Back
Top Bottom