GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nafuatilia sana Ligi Kuu ya Uingereza EPL kuna baadhi ya Wachezaji nawaona kabisa hawana Uwezo alionao Fiston Kalala Mayele na hivyo GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema hapa kuwa zipo Timu Ndogo EPL Mayele anaweza Kucheza tena kwa kuingia moja kwa moja katika First Eleven yao / yake.
Uzi huu na huu Uwasilishaji wangu Ukikukwaza na Kukuuma njia rahisi ya kufanya ni kutafuta tu ilipo Sumu ya Panya ikoroge Unywe Ufe kabisa.
Yanga SC Bingwa wa CAFCC 2023.
Uzi huu na huu Uwasilishaji wangu Ukikukwaza na Kukuuma njia rahisi ya kufanya ni kutafuta tu ilipo Sumu ya Panya ikoroge Unywe Ufe kabisa.
Yanga SC Bingwa wa CAFCC 2023.