cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Thubutuuu yakee, haingii 1st 11 pale Al AhlyWeeeeeee mkuu,huyu jamaa anaingia kikosi chchote hapa africa,japo anakosakosa sana magoli ila anajua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutuuu yakee, haingii 1st 11 pale Al AhlyWeeeeeee mkuu,huyu jamaa anaingia kikosi chchote hapa africa,japo anakosakosa sana magoli ila anajua sana
You're a damn Fool.
Kumfananisha Samatta na huyo mchezaji wenu ni upuuzi. Samatta ashakuwa mfungaji Bora WA CAF champions , Ashakuwa mchezaji Bora WA bara la Afrika Kwa wachezaji wanaocheza barani Afrika, ashachukua CAF champions .Kama samata vile alichez mpaka aston villa
Wwza kuhusu mayele chelsea pangemshinda au
Samatta mfungaji Bora WA CAF champions,mchezaji Bora WA bara la Afrika, ashachukua CAF champions ni kumvunjia heshima kumfananisha na huyo mchezaji wenu.Tuweke unafki pembeni, kati ya Mbwana Samatta na Fiston Mayele yupi ni bora?
Sina haja ya jibu lako, jijibu mwenyewe ndani ya nafsi yako ndio utapata majibu Mayele ni nani.