Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamchukuliaje Demba Ba?Ulaya huku huku alipocheza Demba ba? Geal Bigirimana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Al ahly penyewee haingii 1st 11 huyo. LolSio vidogo hata chelsea anapata namba bila wasiwasi.
Weeeeeee mkuu,huyu jamaa anaingia kikosi chchote hapa africa,japo anakosakosa sana magoli ila anajua sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Al ahly penyewee haingii 1st 11 huyo. Lol
Namchukulia kama mchezaji wa mpiraUnamchukuliaje Demba Ba?
Mnashiba viazi na maji mnaanza kuongea lolote tu.
Basi tuseme hivii utopolo inaweza kushiriki ligi ya EPL na kumaliza top 4.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Siyo kosa lako ni kukosa ufuatiliaji wa football. Ndiyo maana unaona Mayele ni bonge la mchezaji ( kwa kucheza na Marumo Gallants) kuliko Demba Ba.Namchukulia kama mchezaji wa mpira
Ana kipi Cha ajabu labda
Genta ni nalia ngwenaGenta ni Paschal Mayala
Tuweke unafki pembeni, kati ya Mbwana Samatta na Fiston Mayele yupi ni bora?EPL? Kama alishindwa kucheza CAFCL ataweza shughuli za EPL?
Naheshimu uwezo wa Fiston Mayele ila tusiwe watu wa mihemko.
Level za mashindano zina athiri sana uwezo wa mchezaji. Hata CAFCL ni mbingu na ardhi na CAFCC.
Ulaya ni pengine kaka, sema Mayele anaweza kukiwasha akisajiliwa Berkane au au US Monastriene!
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mmelewa eti? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa akili zako unamuona fiston ni Haalland mtupu.Tuweke unafki pembeni, kati ya Mbwana Samatta na Fiston Mayele yupi ni bora?
Sina haja ya jibu lako, jijibu mwenyewe ndani ya nafsi yako ndio utapata majibu Mayele ni nani.
Ila hawezi cheza La Liga.Nafuatilia sana Ligi Kuu ya Uingereza EPL kuna baadhi ya Wachezaji nawaona kabisa hawana Uwezo alionao Fiston Kalala Mayele na hivyo GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema hapa kuwa zipo Timu Ndogo EPL Mayele anaweza Kucheza tena kwa kuingia moja kwa moja katika First Eleven yao / yake.
Uzi huu na huu Uwasilishaji wangu Ukikukwaza na Kukuuma njia rahisi ya kufanya ni kutafuta tu ilipo Sumu ya Panya ikoroge Unywe Ufe kabisa.
Yanga SC Bingwa wa CAFCC 2023.
Kama samata vile alichez mpaka aston villaShabiki maandazi bhana.Sasa huyo Mayele mbona first eleven ya nchi yake anaitafuta Kwa tochi? Kuitwa tu timu ya taifa inakuwa sherehe. Halafu hao wachezaji wanaomuweka benchi hawachezi EPL wengi ni timu za kawaida za ulaya.
Mchezaji anaekaa benchi Everton, Southampton,Nantes ni Bora kuliko anaeanza Yanga na ni mfungaji Bora WA NBC.
Kama huyo Mayele hana golden boot ya CAFCL wala hana tuzo ya Best Male Player of the Year (based in Africa), usimfananishe na kapten Diego (SAMATTA)Tuweke Mayele ni nani.
Mayele avue kinyago ni Halaand mtupuhiv chelsea hawamuon mayele [emoji848]