Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Baada kumaliza kuiangalia mechi ya kimataifa Kati ya Orlando pirates vs Simba sports club pale kwa mkapa na mechi kuisha kwa ushindi DHAIFU wa goli moja Tena la PENALTY .....huu nauita ushindi DHAIFU kwa sababu ni goli ambalo sio la kiufundi but ni Kama zawadi ya bila kuitolea jasho ........

Yafuatayo ni Mambo niliyoyaona Jana
1. Simba imekosa washambuliaji wa kuweza kuamua matokeo... type ya MAYELE au au CR 7

2. Simba kwa level iliyofikia iachane wachezaji wazee....kina kagere, mzee Bocco

3.binafsi naona MAYELE angewachezea Simba Ange score goali 3 kwa kikosi kile cha Orlando pirates

Je, mfano MAYELE angechezea SIMBA Jana unadhani angefunga goli ngapi?

Note: ushindi wa penalty ....sio ushindi wa kiume

 
Mayele huyu ambaye hata mechi ya wahanga wa vita vya somalia alishindwa kuwafunga?

Hii ni vita ya wakubwa . Hayatumiki magobole kwenye hiyo vita .
Acha mayele aendelee kutetema kwa Mbeya kwanza na ihefu . Huku nikwawakubwa huo mziki hauwezi.
 
Mashindano haya Mayele ni kama nesi tu. Haya mashindano ni ya madaktari....

Akachunge ng'ombe aache wanaume wapambane kiume....
Mkuu..... MAYELE aheshimiwe TAFADHARI......ukiona Hadi wabunge wanamzungumizia .....usichukulie poa
 
Mayele huyu ambaye hata mechi ya wahanga wa vita vya somalia alishindwa kuwafunga?

Hii ni vita ya wakubwa . Hayatumiki magobole kwenye hiyo vita .
Acha mayele aendelee kutetema kwa Mbeya kwanza na ihefu . Huku nikwawakubwa huo mziki hauwezi.
Mayele kazoea mech ngumu za kiume...
 
Alishindwa kutetema kwa Geita ndio iwe kwa orlando?
Mkuu .....Geita walikuwa hawachez mpira standards.....but walikua Wana butua .....so ukiwa na wachezaji class ya Mayele .....hawajazoea hii aina ya mipira
 
Alishindwa kutetema kwa Geita ndio iwe kwa orlando?
Mkuu .....Geita walikuwa hawachez mpira standards.....but walikua Wana butua .....so ukiwa na wachezaji class ya Mayele .....hawajazoea hii aina ya mipira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…