Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Kwa hiyo kipimo cha akili yako ni wabunge, wakishasema jambo moja kwa moja ubongo wako unapitisha kuwa sahihi?

Hebu wakati mwingine tupunguze ujinga. Hata robo ya akili zifanye kazi.
Wabunge ni viongoz wetu mkuu
 
Kwa sasa ukisikia sisi Utopolo tukisema hatukuwa na professional prayers ujiongeze na utambue tunamaanisha mitetemo MAYELEEE
Uko sawa kabisa.....

Yanga ikichezesha wachezaji hata 8..pamoja na Mayele inaweza kuifunga Simba ( full ) kikosi
 
Kwa hiyo hicho walichokuwa wanakibutua kilikuwa ni kitu gani ikiwa walikuwa hawachezi mpira?

Kama Geita walikuwa hawachezi mpira basi Yanga ndio walikuwa nao muda wote na Geita walikuwa nacheza butua.

Mitandao imerahisisha sana uchambuzi wa soka.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila basi tu, ubunge ni kazi. Ila ni bora tu wangefuta neno Mheshimiwa likabaki jina mbunge pekee.
Iko sawa.....muheshimiwa kwa sababu amechaguliwa na ameaminiwa na watu wengi
 
Baada kumaliza kuiangalia mechi ya kimataifa Kati ya Orlando pirates vs Simba sports club pale kwa mkapa na mechi kuisha kwa ushindi DHAIFU wa goli moja Tena la PENALTY .....huu nauita ushindi DHAIFU kwa sababu ni goli ambalo sio la kiufundi but ni Kama zawadi ya bila kuitolea jasho ........

Yafuatayo ni Mambo niliyoyaona Jana
1. Simba imekosa washambuliaji wa kuweza kuamua matokeo... type ya MAYELE au au CR 7

2. Simba kwa level iliyofikia iachane wachezaji wazee....kina kagere, mzee Bocco

3.binafsi naona MAYELE angewachezea Simba Ange score goali 3 kwa kikosi kile cha Orlando pirates

Je, mfano MAYELE angechezea SIMBA Jana unadhani angefunga goli ngapi?

Note: ushindi wa penalty ....sio ushindi wa kiume

View attachment 2191731
Mchezaji ligi hii ya bongo hajawah kufunga hat trick ambayo ipo Na akina ruvu, coastal halaf Mtu Yupo robo finally afunge Goli Tatu ebu tuwe serious kidogo Basi
 
Mchezaji ligi hii ya bongo hajawah kufunga hat trick ambayo ipo Na akina ruvu, coastal halaf Mtu Yupo robo finally afunge Goli Tatu ebu tuwe serious kidogo Basi
Ligi ya bongo ni kipengele mkuu
 
Back
Top Bottom