[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya mtetemo kugandishwa ndiiiiii, ndo unaona hili leo? Unakumbuka match yenu dhidi ya Geita ¼ final FA? ilikuaje?All in all, Tanzania tuna uhaba mkubwa wa waamuzi wenye uwezo wa kuzisimamia sheria 17 za soka kwa usahihi. Kiukweli wengi tulio nao ni majanga.
Kukomesha haya malalamiko mngetumia VAR kwenye mechi zenu ili goli za mayele zisikataliwe. Magoli ni mengi sana yaliyokataliwa, sina uhakka kama ya G. Mpole yalikubalika yote. Pumba zenu hazina mashiko, tukubali goli la utata ili iweje wakati hatuna var? Mbona hamlalamiki penalty aliyopewa akabutua juu kuwa ingempa ufungaji bora?Chief yaani unataka tutetee vibovu sababu tu ya uzalendo...kumbuka kuna michezo ambayo haingaliii nani ni nani..ebu badilika kidogo mkuu George mpole kafanya vyema msimu huu ila sio sababu ya kutufanya tuwatendee wachezaji wengine ndivyo sivyo ......KAMA UNAJIELEWA UTANIELEWA
Ndiyo yeye mayele mmoja analilia kiatu na nyie wengi mnalia mmekosa ubingwa tena yeye mayele ndiyo kawachana mshono ndiyo maana mnahasira naye kweri-kweri 🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona clip yake lakini? Analia huku anamfata kibenderaaa, mbavu cna uwiiiiiih.
Analalama huko wachezaji wenzake hawampi ushirikiano, woiiiiiiih.
Sisi tulivyokua tunachukua ndoo, na wafungaji bora tunatoa tena sio m1 ? Ni wengi afu wanafuatana sasa.
Record mliyoweka leo, Simba na Azam zilishafanya hivyo Zaman.
Mpoleeeeeee kasimamisha jiji, katuliza wenge la vumbi la salamander tower. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mechi tunayoikumbuka ni ile tuliyowakojolea makolo kimoja tu kama bata 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya mtetemo kugandishwa ndiiiiii, ndo unaona hili leo? Unakumbuka match yenu dhidi ya Geita ¼ final FA? ilikuaje?
Jiji limetulizwaaaaaa kumyaaaaah. Weraaaaaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uta amua wee km umeze dawa tatu kutuliza maumivu, au uwahi hospital 1 kwa 1 ukaonane na daktareee.Ndiyo yeye mayele mmoja analilia kiatu na nyie wengi mnalia mmekosa ubingwa tena yeye mayele ndiyo kawachana mshono ndiyo maana mnahasira naye kweri-kweri [emoji1787]
Club inatafuta makombe na ushindi.
Je nyie mokolo mmeishinda yanga?
"Siba guvu moya" by gabacholi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau tulishawakojolea sanaaa, sio kimoko tyuuh hata 5, afu wachezaji tofauti tofauti, mtungoooooo.Mechi tunayoikumbuka ni ile tuliyowakojolea makolo kimoja tu kama bata [emoji23]
Mnahasira na mayele kweri-kweri 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uta amua wee km umeze dawa tatu kutuliza maumivu, au uwahi hospital 1 kwa 1 ukaonane na daktareee.
Mpoleeeeeeee kasimamisha jiji. Weraaaaaaaah.
Masikini makolo hii ligi mmeishi kwa tabu kama mmekula nauli 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau tulishawakojolea sanaaa, sio kimoko tyuuh hata 5, afu wachezaji tofauti tofauti, mtungoooooo.
Habari kuu, Mpoleeeeeeeeeee katuliza jiji. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimeshushwaa na Mpoleeeee, yaan hapa tulipo maji yanashuka na tunayasikiliza hadi kwenye kibofu cha mkojo. Weraaaaaaaaaah.Mnahasira na mayele kweri-kweri [emoji23]
Mtikisa matiti ndo aliwahi stand nauli kaacha salamander tower,Masikini makolo hii ligi mmeishi kwa tabu kama mmekula nauli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siyo shabiki wa Yanga wala shabiki wa Simba, lakini kitendo cha line2 kukataa goli halali la mchezaji halali bila kujali ni wa Taifa gani eti sababu akifunga atamzidi Mtanzania ni mawazo hafifu Sana.Chief yaani unataka tutetee vibovu sababu tu ya uzalendo...kumbuka kuna michezo ambayo haingaliii nani ni nani..ebu badilika kidogo mkuu George mpole kafanya vyema msimu huu ila sio sababu ya kutufanya tuwatendee wachezaji wengine ndivyo sivyo ......KAMA UNAJIELEWA UTANIELEWA
SanaAll in all, Tanzania tuna uhaba mkubwa wa waamuzi wenye uwezo wa kuzisimamia sheria 17 za soka kwa usahihi. Kiukweli wengi tulio nao ni majanga.
Sasa kinawauma nnMayele ameshindwa kuyafikia hata magoli ya HERITIER MAKAMBO Msimu wa 2018/2019 yaani magoli 19 na alizidiwa na MEDDIE KAGERE akimaliza msimu na magoli 23.
YANGA tatizo lenu mlidhani mayele ni bora mno, lakini ni mchezaji wa kawaida tu hawezi hata kufikia rekodi ya AMISS TAMBWE!
Tangu awagegede ngao ya jamii mnamchukia sanaMtikisa matiti ndo aliwahi stand nauli kaacha salamander tower,
Mpoleeeee kaja na nauli kapewa seat na bus likaondoka kituoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], woyooooooooooooooooooh
Wewe ndiye mbuluka pamoja na hao UK wako.Nimegundua Watanzania tuna dhamira finyu sana ya Utaifa Mioyoni mwetu.
Mwaka 2010 Drogba na Rooney walikuwa na Magoli sawa mechi za Mwisho kama leo.
Mnakumbuka Lampard alimfanya nini Drogba na Vyombo vya habari vya Uingereza viliandika nini?
Chelsea inapata penati dhidi ya Wigan Athletic, Drogba anaenda kupiga ili ampiku Rooney, anakuja Mwingereza mwenzake Rooney kwa jina la Lampard anampoka Drogba mpira asipige penati ili asimpite Mwingereza mwenzake.
Thanks Drogba baadae aliscore na kutwaa kiatu.
Thanks kwa Simba we did it for JOHN BOCCO last season.
Kwa hiki ulichoandika unasadifu akili za watanzania wengi wasiothamini vya kwao. Who is Mayele by then broo, acha kuonyesha umburula wako
Mayele amejua kuwaliza machozi makolo hadi mnahasira naye kama amewamwagia maji ya mchele 😂Mtikisa matiti ndo aliwahi stand nauli kaacha salamander tower,
Mpoleeeee kaja na nauli kapewa seat na bus likaondoka kituoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], woyooooooooooooooooooh
Ndoto ya kila club ni kutwaa ubingwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimeshushwaa na Mpoleeeee, yaan hapa tulipo maji yanashuka na tunayasikiliza hadi kwenye kibofu cha mkojo. Weraaaaaaaaaah.
Simba walikuwepo akina OKWI, SUNZU, SIRENGO na Tambwe ambao kwa mabao waliyofunga Mayele haoni ndani hata robo mkuuu.Mayele amejua kuwaliza machozi makolo hadi mnahasira naye kama amewamwagia maji ya mchele 😂
Nani bingwa msimu huu?Simba walikuwepo akina OKWI, SUNZU, SIRENGO na Tambwe ambao kwa mabao waliyofunga Mayele haoni ndani hata robo mkuuu.
Alichowazidi hao hapo juu ni kutikisa maziwa tuuu