Mayele kaonewa zaidi na waamuzi this season

Mayele kaonewa zaidi na waamuzi this season

All in all, Tanzania tuna uhaba mkubwa wa waamuzi wenye uwezo wa kuzisimamia sheria 17 za soka kwa usahihi. Kiukweli wengi tulio nao ni majanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya mtetemo kugandishwa ndiiiiii, ndo unaona hili leo? Unakumbuka match yenu dhidi ya Geita ¼ final FA? ilikuaje?

Jiji limetulizwaaaaaa kumyaaaaah. Weraaaaaaaah.
 
Chief yaani unataka tutetee vibovu sababu tu ya uzalendo...kumbuka kuna michezo ambayo haingaliii nani ni nani..ebu badilika kidogo mkuu George mpole kafanya vyema msimu huu ila sio sababu ya kutufanya tuwatendee wachezaji wengine ndivyo sivyo ......KAMA UNAJIELEWA UTANIELEWA
Kukomesha haya malalamiko mngetumia VAR kwenye mechi zenu ili goli za mayele zisikataliwe. Magoli ni mengi sana yaliyokataliwa, sina uhakka kama ya G. Mpole yalikubalika yote. Pumba zenu hazina mashiko, tukubali goli la utata ili iweje wakati hatuna var? Mbona hamlalamiki penalty aliyopewa akabutua juu kuwa ingempa ufungaji bora?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona clip yake lakini? Analia huku anamfata kibenderaaa, mbavu cna uwiiiiiih.
Analalama huko wachezaji wenzake hawampi ushirikiano, woiiiiiiih.

Sisi tulivyokua tunachukua ndoo, na wafungaji bora tunatoa tena sio m1 ? Ni wengi afu wanafuatana sasa.

Record mliyoweka leo, Simba na Azam zilishafanya hivyo Zaman.

Mpoleeeeeee kasimamisha jiji, katuliza wenge la vumbi la salamander tower. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo yeye mayele mmoja analilia kiatu na nyie wengi mnalia mmekosa ubingwa tena yeye mayele ndiyo kawachana mshono ndiyo maana mnahasira naye kweri-kweri 🤣

Club inatafuta makombe na ushindi.
Je nyie mokolo mmeishinda yanga?

"Siba guvu moya" by gabacholi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya mtetemo kugandishwa ndiiiiii, ndo unaona hili leo? Unakumbuka match yenu dhidi ya Geita ¼ final FA? ilikuaje?

Jiji limetulizwaaaaaa kumyaaaaah. Weraaaaaaaah.
Mechi tunayoikumbuka ni ile tuliyowakojolea makolo kimoja tu kama bata 😂
 
Ndiyo yeye mayele mmoja analilia kiatu na nyie wengi mnalia mmekosa ubingwa tena yeye mayele ndiyo kawachana mshono ndiyo maana mnahasira naye kweri-kweri [emoji1787]

Club inatafuta makombe na ushindi.
Je nyie mokolo mmeishinda yanga?

"Siba guvu moya" by gabacholi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uta amua wee km umeze dawa tatu kutuliza maumivu, au uwahi hospital 1 kwa 1 ukaonane na daktareee.

Mpoleeeeeeee kasimamisha jiji. Weraaaaaaaah.
 
Mechi tunayoikumbuka ni ile tuliyowakojolea makolo kimoja tu kama bata [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau tulishawakojolea sanaaa, sio kimoko tyuuh hata 5, afu wachezaji tofauti tofauti, mtungoooooo.

Habari kuu, Mpoleeeeeeeeeee katuliza jiji. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yeye ameshakubali, nyie ni nani muendelee kuumia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16565792292191560.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uta amua wee km umeze dawa tatu kutuliza maumivu, au uwahi hospital 1 kwa 1 ukaonane na daktareee.

Mpoleeeeeeee kasimamisha jiji. Weraaaaaaaah.
Mnahasira na mayele kweri-kweri 😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau tulishawakojolea sanaaa, sio kimoko tyuuh hata 5, afu wachezaji tofauti tofauti, mtungoooooo.

Habari kuu, Mpoleeeeeeeeeee katuliza jiji. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Masikini makolo hii ligi mmeishi kwa tabu kama mmekula nauli 🤣🤣🤣
 
Mnahasira na mayele kweri-kweri [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimeshushwaa na Mpoleeeee, yaan hapa tulipo maji yanashuka na tunayasikiliza hadi kwenye kibofu cha mkojo. Weraaaaaaaaaah.
 
Masikini makolo hii ligi mmeishi kwa tabu kama mmekula nauli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtikisa matiti ndo aliwahi stand nauli kaacha salamander tower,
Mpoleeeee kaja na nauli kapewa seat na bus likaondoka kituoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], woyooooooooooooooooooh
 
Chief yaani unataka tutetee vibovu sababu tu ya uzalendo...kumbuka kuna michezo ambayo haingaliii nani ni nani..ebu badilika kidogo mkuu George mpole kafanya vyema msimu huu ila sio sababu ya kutufanya tuwatendee wachezaji wengine ndivyo sivyo ......KAMA UNAJIELEWA UTANIELEWA
Siyo shabiki wa Yanga wala shabiki wa Simba, lakini kitendo cha line2 kukataa goli halali la mchezaji halali bila kujali ni wa Taifa gani eti sababu akifunga atamzidi Mtanzania ni mawazo hafifu Sana.
 
Mayele ameshindwa kuyafikia hata magoli ya HERITIER MAKAMBO Msimu wa 2018/2019 yaani magoli 19 na alizidiwa na MEDDIE KAGERE akimaliza msimu na magoli 23.

YANGA tatizo lenu mlidhani mayele ni bora mno, lakini ni mchezaji wa kawaida tu hawezi hata kufikia rekodi ya AMISS TAMBWE!
Sasa kinawauma nn
 
Mtikisa matiti ndo aliwahi stand nauli kaacha salamander tower,
Mpoleeeee kaja na nauli kapewa seat na bus likaondoka kituoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], woyooooooooooooooooooh
Tangu awagegede ngao ya jamii mnamchukia sana
 
Nimegundua Watanzania tuna dhamira finyu sana ya Utaifa Mioyoni mwetu.

Mwaka 2010 Drogba na Rooney walikuwa na Magoli sawa mechi za Mwisho kama leo.

Mnakumbuka Lampard alimfanya nini Drogba na Vyombo vya habari vya Uingereza viliandika nini?

Chelsea inapata penati dhidi ya Wigan Athletic, Drogba anaenda kupiga ili ampiku Rooney, anakuja Mwingereza mwenzake Rooney kwa jina la Lampard anampoka Drogba mpira asipige penati ili asimpite Mwingereza mwenzake.

Thanks Drogba baadae aliscore na kutwaa kiatu.
Thanks kwa Simba we did it for JOHN BOCCO last season.

Kwa hiki ulichoandika unasadifu akili za watanzania wengi wasiothamini vya kwao. Who is Mayele by then broo, acha kuonyesha umburula wako
Wewe ndiye mbuluka pamoja na hao UK wako.
Huna dini,ungekuwa na dini ungependa haki bila kujali uraia
Kwa tafsiri yako kwa kuoga ya ulaya hata ushoga
 
Mtikisa matiti ndo aliwahi stand nauli kaacha salamander tower,
Mpoleeeee kaja na nauli kapewa seat na bus likaondoka kituoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], woyooooooooooooooooooh
Mayele amejua kuwaliza machozi makolo hadi mnahasira naye kama amewamwagia maji ya mchele 😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimeshushwaa na Mpoleeeee, yaan hapa tulipo maji yanashuka na tunayasikiliza hadi kwenye kibofu cha mkojo. Weraaaaaaaaaah.
Ndoto ya kila club ni kutwaa ubingwa?

Nani bingwa msimu huu? 🤣🤣🤣
 
Mayele amejua kuwaliza machozi makolo hadi mnahasira naye kama amewamwagia maji ya mchele 😂
Simba walikuwepo akina OKWI, SUNZU, SIRENGO na Tambwe ambao kwa mabao waliyofunga Mayele haoni ndani hata robo mkuuu.
Alichowazidi hao hapo juu ni kutikisa maziwa tuuu
 
Back
Top Bottom