cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayele wa sasa hivi Kichuya ana afadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayele wa sasa hivi Kichuya ana afadhali.
Umempatiajee yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ndo wivu sasa? Mkude, Okra basi nyinyi mtahara kwa kuyafakamia.
Wewe ulikuwa hater namba Moja wa Mayele ukisema hamna kitu na kutoa uchambuzi kuhusu Mayele , sasa nasubiri aje upande wenu nione kauli yako utasema vipi ?Saido aliwahi kupata kusema kuwa "ukitaka kumuua mbwa we mpe jina baya"
Ndio nachokiona kutoka kwako
BaelezeeMayele wa sasa hivi Kichuya ana afadhali.
Duuh nyie mna manenoKwani hukumwona kwenye mkutano mkuu?
Hicho ndio kinakupa matumaini?Manzoki amewahi kuichezea Yanga?
Umeona mbali kwa darubini kaliSimba tuwe makini na cheap politics za Try Again na Magungu,hivi mnawaamini hawa wahuni?walifaya hivo kwa Manzoki ili Magungu apate kura, sasa hivi wanachofanya ni kutuliza mashabiki ili wasihoji kutolewa na Al Ahly na ubingwa wa ligi, hapo ni drama tu kuonyesha kwamba wanapambana lakini hao sio wananunuaji wa wachezaji wazuri wanaokota tu magarasa yaliyochuja , Mayele ni drama tu
Kwahiyo hilo ni igizo linafatia baada ya kutolewa huko Misri?Tayari washa waandaa baada ya kutolewa na Al Ahly akili zina hamia kwa Mayele qumæ zenu mnachezewa akili kama watoto!
Mbona sijaona mahali ambapo mleta uzi ameonyesha kuwa kitendo hicho ni shida?Mashabiki wa simba kuna wakati mnapenda sana kujidhalilisha!
Sasa shida iko wapi hapo, kwa huyo Mayele kwenda kusalimiana na baadhi ya wachezaji ambao wengine anatoka nao nchi moja!!
Mayele ni mali ya Simba furahiMbona sijaona mahali ambapo mleta uzi ameonyesha kuwa kitendo hicho ni shida?
Mnapumbazwa , Mangungu na Try again wanajua kucheza na mashabiki sana , washatafuta njia ya kufariji mashabiki tayari kwa kipigo cha keshoSimba tuwe makini na cheap politics za Try Again na Magungu,hivi mnawaamini hawa wahuni?walifaya hivo kwa Manzoki ili Magungu apate kura, sasa hivi wanachofanya ni kutuliza mashabiki ili wasihoji kutolewa na Al Ahly na ubingwa wa ligi, hapo ni drama tu kuonyesha kwamba wanapambana lakini hao sio wananunuaji wa wachezaji wazuri wanaokota tu magarasa yaliyochuja , Mayele ni drama tu
Naomba kuuliza swali mkuu, kwanini kuna positive correlation between being a simba fan kwa ladies na utapeli. Unlike ladies Yanga fanUmempatiajee yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Mikia FC mna shida kweli. Kutembelewa tu ndo mmeshafanya usajili. Mbumbumbu FC kweli.
Aliyekuwa mchezaji wa Yanga SC, Fiston Mayele ambaye kwa sasa anakipiga na Klabu ya Pyramid ya Misri, leo Aprili 4, 2024 ametembelea kambi ya Klabu ya Simba ambayo kesho inapambana na Al-Ahly ya hukohuko Misri katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.
Mbumbumbu kama hujanielewa kaa kimya.Mbona sijaona mahali ambapo mleta uzi ameonyesha kuwa kitendo hicho ni shida?