Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Achana na huyo mapele...yupo mwngine cjui katokea makambako...hajaugusa mpira hadi kuishaa...ila Onyango ni hatar sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi ya beki nini wewHoja ni kumsifia Onyango specifically kwa kazi ya kumzuia Mayele. Uwe unaelewa nyani wewe
Sasa si nita-calculate tu. Ni suala dogo sana. Kupata data husika. But dont forget the fact that harakati za Mayele uwanjani ziliwafanya mabeki wa Simba kutoshiriki ktk kuanzisha attacks zozote kwa Yanga. You can't easily quantify this but it counts significantly
Yaani mijadala mingine ya kipuuzi sana asa mtu anasifia beki zake kwa kumdhibiti Mayele, ina maana Simba iliingia uwanjani kwa lengo la kuwazuia tu Yanga isipate goli halafu wao hata wasipopata goli fresh tu? Maana mechi imeisha kwa sare hivyo alichofanyiwa Mayele ni sawa sawa na alichofanyiwa Morrison + Kagere na boko. Kwanini hamlaumu foward zenu kwa kushindwa kutoka na ushindi na badala yake mnasifia mabeki wenu?
Punguza ukanjanja. Sasa ndiyo uandike gazeti lote hili? Sentensi yako ya mwisho si ingetosha ku sum up ulichotaka kuandika?Sina ushabiki maandazi wa hizi timu zenu ila siwezi kumdharau Mayele. Kwa mfumo aliochagua kocha wake Jana, mtu aliyemwangusha ni Fei ambaye alichagua kutoambatana naye. Otherwise yeye alitimiza jukumu lake vema na makosa machache ya kibinadamu. Tuliocheza mpira tunaelewana, wasioelewa usiwalazimishe. Kuna kipindi mashabiki wa Yanga walimponda Kagere nikasema binafsi nisiye na upande nawachuja kwa kutojielewa. Kila striker ana namna inayomtambulisha uawanjani. Kagere halisi hakuwa na mambo mengi ila alijua kukaa mahali sahihi kwa muda sahihi. Yaani alijua kwa mwenendo huu mpira utakuwa mahali fulani baada ya muda Fulani na kweli ikatokea na akascore kilaini. Sasa mpe a dribble kama Mayele utamkosoa kwa sababu siyo kipaji chake. Nafasi 3 alizopata Mayele Kagere angeweza kutumia ugumu uleule kuscore lakini kazi aliyoifanya dhidi ya beki ya Simba kwa Jana ilikuwa nzito. Wanaowsifu Inonga na Onyango hawawasifu kwa sababu ya kumzuia Fei na wengine. Yaani ukisikia mtu anaisifia beki ya Simba kwa Jana anaisifia kwa matukio ya kumdhibiti mtu mmoja tu na mtu huyo ni Fiston Mayele.
Achana na huyo mapele...yupo mwngine cjui katokea makambako...hajaugusa mpira hadi kuishaa...ila Onyango ni hatar sanaa
K
kazi ya beki nini wew
Nyani - luc eymael
Yani unatumia Nguvu kubwa kueleza pumba! sasa kama mabeki wa Simba hawakuanzisha mashambulizi ni nini kilichowafanya Yanga wao wasifunge?
Acha kurukaruka Leta takwimu Mayele ana goli ngapi v/s Dakika alizocheza?
MTU fulani soft sana, Hana ubora wa maana ya straika ambaye unaweza kumtegemea abadilishe matokeo muda wowote. Anapotezwa kirahisi sana.Ukiangalia harahati zake uwanjani na namna alivyokuwa akiwaweka roho juu walinzi wa kati wa Simba, ni wazi kuwa Mayele ni mshambuliaji hatari na pengine kwa sasa hakuna kama yeye kwa timu zote -- Simba na Yanga.
Ongezea/punguza/sema ukijuacho, usitukane
Hebu ongea na statistics kwanza halafu useme kitu kuhusu fowards za SimbaYaani mijadala mingine ya kipuuzi sana asa mtu anasifia beki zake kwa kumdhibiti Mayele, ina maana Simba iliingia uwanjani kwa lengo la kuwazuia tu Yanga isipate goli halafu wao hata wasipopata goli fresh tu? Maana mechi imeisha kwa sare hivyo alichofanyiwa Mayele ni sawa sawa na alichofanyiwa Morrison + Kagere na boko. Kwanini hamlaumu foward zenu kwa kushindwa kutoka na ushindi na badala yake mnasifia mabeki wenu?
Tobo lile alipigwa bibi yako. Eti aliwekwa mfukoni.....Onyango ndo mmemfundisha kushika na kuvuta watu? Ovyo kabisa
Mwakani Utopolo mtasajili straika tena
Mayele msimu ukiisha huu hamtamtamani. Hana maajabu. Ngoja ligi ichanganye vizuri, mwenye kombe lake akalie usukani.
Mtafukuza mpaka mpishi km msimu ulioisha.
MTU fulani soft sana, Hana ubora wa maana ya straika ambaye unaweza kumtegemea abadilishe matokeo muda wowote. Anapotezwa kirahisi sana.
Mechi ya ngao ya jamii aliingia Kennedy Juma akamficha kabisa. Ni mfungaji wa mipira ya wazi si mpambanaji.
NB:Hivi Feisal alikuwa uwanjani? Sikumwona.
Kwa jinsi ulinzi ulivyokuwa wa kipolisi hata alipotolewa beki wa Simba alihakikisha anatoka naye hadi kwenye mstari wakati anabadilishwa.Yuko vzr kwa timu ya hovyo. Jana aliwekwa mfukoni na Onyango.
Unayumbayumba sana mara sipendi team zenu hizi, asa sijui umefuata nini kwenye team zetu hizi.....Sina ushabiki maandazi wa hizi timu zenu ila siwezi kumdharau Mayele. Kwa mfumo aliochagua kocha wake Jana, mtu aliyemwangusha ni Fei ambaye alichagua kutoambatana naye. Otherwise yeye alitimiza jukumu lake vema na makosa machache ya kibinadamu. Tuliocheza mpira tunaelewana, wasioelewa usiwalazimishe. Kuna kipindi mashabiki wa Yanga walimponda Kagere nikasema binafsi nisiye na upande nawachuja kwa kutojielewa. Kila striker ana namna inayomtambulisha uawanjani. Kagere halisi hakuwa na mambo mengi ila alijua kukaa mahali sahihi kwa muda sahihi. Yaani alijua kwa mwenendo huu mpira utakuwa mahali fulani baada ya muda Fulani na kweli ikatokea na akascore kilaini. Sasa mpe a dribble kama Mayele utamkosoa kwa sababu siyo kipaji chake. Nafasi 3 alizopata Mayele Kagere angeweza kutumia ugumu uleule kuscore lakini kazi aliyoifanya dhidi ya beki ya Simba kwa Jana ilikuwa nzito. Wanaowsifu Inonga na Onyango hawawasifu kwa sababu ya kumzuia Fei na wengine. Yaani ukisikia mtu anaisifia beki ya Simba kwa Jana anaisifia kwa matukio ya kumdhibiti mtu mmoja tu na mtu huyo ni Fiston Mayele.
Yaani mijadala mingine ya kipuuzi sana asa mtu anasifia beki zake kwa kumdhibiti Mayele, ina maana Simba iliingia uwanjani kwa lengo la kuwazuia tu Yanga isipate goli halafu wao hata wasipopata goli fresh tu? Maana mechi imeisha kwa sare hivyo alichofanyiwa Mayele ni sawa sawa na alichofanyiwa Morrison + Kagere na boko. Kwanini hamlaumu foward zenu kwa kushindwa kutoka na ushindi na badala yake mnasifia mabeki wenu?
Kocha Nabi lazima ahakikishe kwamba kwa ule mfumo waliocheza jana, Mayele lazima awe na backup striker karibu kwa ajili ya dharura kitu ambacho kwa ile mechi hakuwa naye.
Hata attacking midfielders wa Yanga mara nyingi walikuwa wanakuwa nyuma sana kiasi cha kumfanya Mayele akose support ya haraka.
Nafikiri viungo wa Yanga walikuwa very defensive minded wakiogopa counter attack kutoka kwa wapinzani wao na hili ilidhihiri zaidi katika kipindi cha pili ambapo waliwaacha Simba watawale zaidi mchezo.
Pia kipa wa Yanga Diarra alionekana kuwa na "Apprehensive Attitude" kwa muda mrefu hali ambayo ilimfanya mara fulani afanye "Lethal Misjudgements" kwa kutoka golini hovyo kukimbilia mpira.
Timu zote zilionekana kucheza kwa kupaniana sana ili kukwepa lawama ya kupoteza mechi kutoka kwa mashabiki wao.
All in all, mpira ulikuwa mzuri na matokeo ya jana ndio true reflection of the quality displayed by both sides.