MAYWEATHER vs PACQUIAO - (02 MAY 2015): NANI ATATOKA SHUJAA ???

MAYWEATHER vs PACQUIAO - (02 MAY 2015): NANI ATATOKA SHUJAA ???

Oya mi nataka ku bet kete yangu nampa My kama yupo tayari tunatuma hela kwa Invisible kama dau kwa ambaye atampa Pac? Kubeti sio mpirq tu wengine hatushabikii mipira.

Nipo tayari mkuu
Taja dau, lazima lianzie kilo2 kuendelea
 
Last edited by a moderator:
Atapiga hewa sku hiyo!:boxing:

Ahhaahahaa ....hahahha!! Mkuu umenichekesha sana, inawezekana kabisa mkuu. Lakini tukumbuke wote wako vizuri, ndiyo maana hili pambano linaweza kuingia kwenye historia wa ya ulimwengu wa ngumi kama siyo pambano la mlongo huu au karne.
 
Kuna kitu nimejiuliza sanaaa, ni kwanini kwanini mayweather aondoke na 60% ya mapato yote na Pacquiao aondoke na 40% ??
Nahisi kuna chezo hapa as in kama kuna mgao flan wa ki maslahi as in Mayweather ashindwe pambano but walk away wit much more money and Pacquia ashinde pambano but walk away of a bit lesser money than mayweather.

Hii ina maana kwamba perhaps wamekubaliana Pacq achukue ushindi meaning Mayweather will loose but earn more. i.e. Marketing & Money making scheme based on customers demands. (Its Business)

Nimejikuta nawaza hvyo tu.
 
Kuna kitu nimejiuliza sanaaa, ni kwanini kwanini mayweather aondoke na 60% ya mapato yote na Pacquiao aondoke na 40% ??
Nahisi kuna chezo hapa as in kama kuna mgao flan wa ki maslahi as in Mayweather ashindwe pambano but walk away wit much more money and Pacquia ashinde pambano but walk away of a bit lesser money than mayweather.

Hii ina maana kwamba perhaps wamekubaliana Pacq achukue ushindi meaning Mayweather will loose but earn more. i.e. Marketing & Money making scheme based on customers demands. (Its Business)

Nimejikuta nawaza hvyo tu.

Hata mimi mkuu hilo nilijiuliza sana. Ila baada kufatilia kwa undani sana nikagundua kama siyo Mayweather basi ana washauri wanapenda pesa sana. Pia Pacquiao aliona ngoja akubali tu 60/40 ili mradi mashabiki wapate wanachokihitaji la sivyo pambano lingekuwa hamna.

Hili pambano limeanza kuzungumziwa tangu 2010, Mayweather akaanza kutoa sababu baada ya sababu; Pac apime damu, Pac alivyokubali kupima damu, akaja na 20M kwanza, Pac akakataa akang'ania 50/50, Mayweather akaja na 40M ikakataliwa, Pac baada ya kupigwa na Marquez akaona pambano halitakuwepo tena, Pac akaanza kulisaka pambano tena, kukawa na mabishano tena ya makampuni yanayowawakilisha HBO na Showtime. Mpaka walivyokutana januari Pac na Mayweather uso kwa uso sasa ndiyo wenyewe wakakubaliana 60/40. Na bila Pacquiao kukubali kujishusha kukubali vitu ambavyo Mayweather anavihitaji pambano lisingekuwepo.

Kuna mambo mengi sana nyuma ya pazia ndiyo maana hakuna hata mkataba wa marudiano, lakini tushukuru yote yamepita na yamekubaliwa sasa tuone mpambano kwanza.
 
Hata mimi mkuu hilo nilijiuliza sana. Ila baada kufatilia kwa undani sana nikagundua kama siyo Mayweather basi ana washauri wanapenda pesa sana. Pia Pacquiao aliona ngoja akubali tu 60/40 ili mradi mashabiki wapate wanachokihitaji la sivyo pambano lingekuwa hamna.

Hili pambano limeanza kuzungumziwa tangu 2010, Mayweather akaanza kutoa sababu baada ya sababu; Pac apime damu, Pac alivyokubali kupima damu, akaja na 20M kwanza, Pac akakataa akang'ania 50/50, Mayweather akaja na 40M ikakataliwa, Pac baada ya kupigwa na Marquez akaona pambano halitakuwepo tena, Pac akaanza kulisaka pambano tena, kukawa na mabishano tena ya makampuni yanayowawakilisha HBO na Showtime. Mpaka walivyokutana januari Pac na Mayweather uso kwa uso sasa ndiyo wenyewe wakakubaliana 60/40. Na bila Pacquiao kukubali kujishusha kukubali vitu ambavyo Mayweather anavihitaji pambano lisingekuwepo.

Kuna mambo mengi sana nyuma ya pazia ndiyo maana hakuna hata mkataba wa marudiano, lakini tushukuru yote yamepita na yamekubaliwa sasa tuone mpambano kwanza.

U said it all chief. That makes me think Pacquiao atashinda, so kama watu wana bet waweke pesa zao kwa pacquiao (I dont kno, ila wacha tusubiri). Kama sikosei Mayweather alisema ana retire after this fight in which he will make a ton of money but loose. 1 loose 47 wins plus a healthy bank account is no issue. Dah entertainment industry ina hela sanaaa ukijua kucheza na akili za watu. Daaah imagine mtu unaondoka na 60% of $ 300M = $180M. in a matter of hours. Utajiri wa msela wake 50 Cent na zaidi jamaa ana make kwa masaa tu. Ndio maana 50 kakubali matokeo akajishusha kwa msela. Sitoshangaa baadae nikisikia 50 Cent was the mastermind wa hili chezo cz yule msela he is a very cunning type of dude ame bet $ 1.6M that Mayweather anashinda (He is not that stupid). Nitapata majibu ya maswali yangu baada ya matokeo, wacha tusubiri.
 
U said it all chief. That makes me think Pacquiao atashinda, so kama watu wana bet waweke pesa zao kwa pacquiao (I dont kno, ila wacha tusubiri). Kama sikosei Mayweather alisema ana retire after this fight in which he will make a ton of money but loose. 1 loose 47 wins plus a healthy bank account is no issue. Dah entertainment industry ina hela sanaaa ukijua kucheza na akili za watu. Daaah imagine mtu unaondoka na 60% of $ 300M = $180M. in a matter of hours. Utajiri wa msela wake 50 Cent na zaidi jamaa ana make kwa masaa tu. Ndio maana 50 kakubali matokeo akajishusha kwa msela. Sitoshangaa baadae nikisikia 50 Cent was the mastermind wa hili chezo cz yule msela he is a very cunning type of dude ame bet $ 1.6M that Mayweather anashinda (He is not that stupid). Nitapata majibu ya maswali yangu baada ya matokeo, wacha tusubiri.

Kwa kauli yake anasema mwezi wa September atapigana pambano la mwisho. Kama akipigwa pambano hili lazima ataomba au wadau watamuombea marudiano naona hapo Pacquiao na yeye atambana kwenye malipo. Ila boxing kuna fixing sana kuna dalili zote kama ulivyosema Pacquiao ashinde ili watu watengenenze pesa tena. Lakini kwa Pacquiao kushinda itaweza kutokea iwapo wataenda raundi zote 12. Masaa 24 yamebaki, Im so excited!!

Tangu nianze kumjua Mayweather hili ndio litakuwa pambano la kwanza kumemsikia akisema ushindi unaweza kwenda popote sababu Pacquiao ni bondia mzuri pia. Inaniambia kama ana kauwoga fulani hivi lakini bado simwamini maana Mayweather yuko smart sana.

Akili inaniambia Mayweather atashinda kwa ujuzi, ila moyo unakata unasema Pacquiao atashinda sababu ataipigana kijasiri kesho.
 
Kwa kauli yake anasema mwezi wa September atapigana pambano la mwisho. Kama akipigwa pambano hili lazima ataomba au wadau watamuombea marudiano naona hapo Pacquiao na yeye atambana kwenye malipo. Ila boxing kuna fixing sana kuna dalili zote kama ulivyosema Pacquiao ashinde ili watu watengenenze pesa tena. Lakini kwa Pacquiao kushinda itaweza kutokea iwapo wataenda raundi zote 12. Masaa 24 yamebaki, Im so excited!!

Tangu nianze kumjua Mayweather hili ndio litakuwa pambano la kwanza kumemsikia akisema ushindi unaweza kwenda popote sababu Pacquiao ni bondia mzuri pia. Inaniambia kama ana kauwoga fulani hivi lakini bado simwamini maana Mayweather yuko smart sana.

Akili inaniambia Mayweather atashinda kwa ujuzi, ila moyo unakata unasema Pacquiao atashinda sababu ataipigana kijasiri kesho.

People are there scheming 24/7 to make millions of dollars....hapo ni pure fix.... Sharobaro Mayweather kesha scheme pambano hili ashindwe apige hela zake kwa kisingizio he is the money team and walks away wit more money, he doesnt care alaf mwakani/bdae aje kusema anafanya re-match ths tym 50/50 apige tena hela za kutosha wakat huo net worth yake inakimbilia $600M huko. Achana na hawa watu man wanajua ku capitalise ujinga wa watu wengi.

Tutakutana hapa tena Jumapili ku discuss matokeo. Utaniambia mwenyewe. Mayweather ata loose ths tym ingawa sipendi iwe hvyo.

Alaf kumbuka kuna hela za ku bet hapo kumbuka kama walishapanga matokeo its obvious watabet indirectly watavuta tena mi dollar kibao. Daaaah
 
People are there scheming 24/7 to make millions of dollars....hapo ni pure fix.... Sharobaro Mayweather kesha scheme pambano hili ashindwe apige hela zake kwa kisingizio he is the money team and walks away wit more money, he doesnt care alaf mwakani/bdae aje kusema anafanya re-match ths tym 50/50 apige tena hela za kutosha wakat huo net worth yake inakimbilia $600M huko. Achana na hawa watu man wanajua ku capitalise ujinga wa watu wengi.

Tutakutana hapa tena Jumapili ku discuss matokeo. Utaniambia mwenyewe. Mayweather ata loose ths tym ingawa sipendi iwe hvyo.

Alaf kumbuka kuna hela za ku bet hapo kumbuka kama walishapanga matokeo its obvious watabet indirectly watavuta tena mi dollar kibao. Daaaah

Msilete ngojera za akina kalawila na cheka hapa

Bondia mwenye influence kubwa siku zote anadaka pesa ndefu

May hawezi kukubali ujinga huu,
 
Msilete ngojera za akina kalawila na cheka hapa

Bondia mwenye influence kubwa siku zote anadaka pesa ndefu

May hawezi kukubali ujinga huu,

Hawa wameshaona dalili za kupigwa wanaanza hadithi ......watulie kwanza..
 
MUDA UMEFIKA
Haya mlio lala amkeni basi maana mi usingizi uligoma kabisa japo si shabiki ya masumbwi ila leo mpaka nione.
 
Msilete ngojera za akina kalawila na cheka hapa

Bondia mwenye influence kubwa siku zote anadaka pesa ndefu

May hawezi kukubali ujinga huu,

Acha kujikuta mjuaji kijana.....hii burudani tu na watu tumeshare what we think its not like its one of our first priorities. Washinde wa loose urnt making anything....
11168407_1090295970984155_371680066246917624_n.jpg
 
kashindaje huyo mayweather au wamechakachua
 
Back
Top Bottom