Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 378
- 510
Million 6.6I don't know
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Million 6.6I don't know
Hassan mwakinyo ana belt ya WBA aliipata baada ya kumpiga Anthony jarmanny wa botswana na ushindi huo nao pia ulkuwa ni wa TKO kama huu juziBila belt he ain't nothing. Wacha apate belt kwanza. Lakini anatuma, si kawaida ya watanzania kujituma hivi ama pengine baba yake ni mkenya.
jamaa ni wa tanga na hana hata chembe ya dsmpengine wa tandale😀😀😀....sababu sijawahi mskia hata siku moja huyo jamaa
Haha Haha,dah mkuu mnamzingua sana mzee wa watuAsije akajiingiza kwenye siasa... Maana jiwe hakawii kuanza kusema alikua anamfundisha boxing.
Hiv mfano juz aliposhinda inawezekana kapata shngap?
DuuhNasikia Polepole anamtafuta pia!
Hujachelewa.. Omba pambanoZaidi ya Biko, Ningejua mapema ningekuwa mpiga ngumi.
Hahahaha tena anatumiwa na tigo pesa hyo.
Milioni 6 tuHiv mfano juz aliposhinda inawezekana kapata shngap?
6.6MHiv mfano juz aliposhinda inawezekana kapata shngap?
Kwani kumsikia kwako kunamuongezea au kumpunguzia kitu?pengine wa tandale😀😀😀....sababu sijawahi mskia hata siku moja huyo jamaa
idiot...jamaa hajawahi skika popote mnatumbia nini?😀😀Kwani kumsikia kwako kunamuongezea au kumpunguzia kitu?
Rubbish!