Mazava chawapa likizo ya kibabe ya miezi 3 isiyo na malipo wafanyakazi wake

Mazava chawapa likizo ya kibabe ya miezi 3 isiyo na malipo wafanyakazi wake

Sasa mnavyolilia lockdown mnadhani wangelipwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukulilia total lockdown tulisema maeneo yalioathirika zaidi ndio yawekewe lockdown ila tulisema kufunga viwanja vya ndege kwani ugonjwa unatokea nje

Tulisema mipaka ifungwe kwa muingiliano wa watu na kuwe upimaji wa madereva wa mizigo

Tulisema Bandari iwachwe wazi na wala isiguswe ila mabaharia wa meli za mizigo wabaki kwenye meli zao na wakitaka kuingia mjini ni lazima wajikanranteene kwa siku 14

Leo hii ugonjwa tungeweza kuudhibiti usienee kwa kasi na akina mzee mahiga tungekuwa nao who knows
 
Timu zinazonunua hizo Jezi kwa wingi hazichezi mpira,kwahiyo ungetaka waendelee kuzalisha bila ya kuuza,hiyo ni biashara gani...?
 
Things falls apart halafu mtu bado anajificha.
Kwani yeye ndio chanzo au ni uchumi ndio Tatizo. Watanzania mnatakiwa mbadirishe mitazamo mimi sipo Tanzania nipo ulaya hata huku viwanda vimefungwa. Corona imetikisa uchumi wa dunia. Hapohapo mnadai lockdown hapohapo tena mnalia kiwanda kufungwa. Mwenye kiwanda atauza bidhaa zake wapi watu wakiwa lockdown
 
Kwani yeye ndio chanzo au ni uchumi ndio Tatizo. Watanzania mnatakiwa mbadirishe mitazamo mimi sipo Tanzania nipo ulaya hata huku viwanda vimefungwa. Corona imetikisa uchumi wa dunia. Hapohapo mnadai lockdown hapohapo tena mnalia kiwanda kufungwa. Mwenye kiwanda atauza bidhaa zake wapi watu wakiwa lockdown
Magufuli ni tatizo juzi IMF imetoa fedha kwa nchi majirani ili kusaidia kujikimu na kolona kwasababu wamejaribu kupambana na hanga hili

Magufuli yeye hapokei hata simu za viongozi
 
Kila mwenye akiri timamu, hasa mwajiliwa katika sekita binafs, awe tayari Kwa lolote, hata Mimi nafilia kupunguza, na hii ni Kwa sababu Wakati mwingine watalaamu wetu wa Uchumi hawatoi ushauri mzuri Kwa serikali na Kwa mabank

Hakuna haja ya kuendelea kudai marejesho ya kila mwezi kwenye mabank ili Hali wanajua uhalisia uliopo, na kufanya hivyo ni kuwauwa wadau wao wa mabank Yao,
 
Kama Magufuli bado anaamini anahujumiwa ngoja Nzige nao wanapiga hodi sijui atasemaje hahahaa...dadeq
 
Magufuli ni tatizo juzi IMF imetoa fedha kwa nchi majirani ili kusaidia kujikimu na kolona kwasababu wamejaribu kupambana na hanga hili

Magufuli yeye hapokei hata simu za viongozi
Sio lazima kuchukua pesa, ni kupambana tu. Kwani China wao nani kawasaidia pesa si walipambana wenyewe. Ni kupiga kazi tu. Kila Taifa linashuka kiuchumi kipindi hichi kila mwananchi apambanie life lake tuache kuwalaumu viongozi.
 
Kuna siku itafika tutakuja kulia wote humu (uwe na kazi, usiwe na kazi, uliwahi kupata corona ama hukuwahi), wote yatatukuta. Kama corona ikiendelea kusimamia kucha hivi, sote tutaimba wimbo mmoja!!! Kuna watu washaziba masikio, wao washavaa jezi za kijani, kazi yao ni kusifu tu kama vile watakuwa salama! Ni wazi tuna haja ya kukubali, serikali yetu ina mambo mengi ya kufanya na kutathmini hali ya nchi wakati na baada ya corona. Kuna vitu ndiyo (kama hizi ajira kupungua) haiwezi zuia, lakini huu ni wakati wa kutumia sana rasilimali watu iliyonayo kujikita katika kufanya maamuzi ya kitaalamu zaidi kuliko kuendelea na "business as usual". Kuna wataalamu wa afya, uchumi, usalama, nk, kama tulikuwa tunawa'underutilize" huu ni muda wa kukamua utaalamu wao hasa. Huko mbele hatujui hata hali ya usalama itakuwaje!? Mfano mdogo tu, hivi tumefikiria hili kundi lote hapa lililosimamishwa kazi litaishije? Wapo watakaoishia kwa maji kwa siku, wapo watakaolala nje, wapo watakaochukuliwa mali zao na taasisi za fedha...na wapo watakaoanza kuvamia majumba ya wale waliokuwa na uwezo wa kujiwekea "lockdown" usiku (au hata mchana). Hii ngoma ikisimamia kucha, hata aliye mtoa mapambio wa rangi ya kijani hatokuwa salama. Serikali itupe mapumziko hata kidogo na siasa majitaka, tunahitaji tathmini na mpango kazi wa kitaalamu zaidi.
 
Back
Top Bottom