February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Huyu bibi fyatuMbona sijaskia akisema kuhusu kwenda kupigana na magaidi hamasi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bibi fyatuMbona sijaskia akisema kuhusu kwenda kupigana na magaidi hamasi?
Yani kaona video kakimbilia jf kupost.Huyu bibi fyatu
haya yanafanyika kwa usiri mkubwa, sidhani kama wanaweza waandishi wa habari kupata nafasi kuiweka wazi hiviMapya haya sasa, Mazayunni wameanza kuchukuwa askari wa kukodiwa Malawi, wanajuwa dhiki zetu Afrika na pesa wanayotowa zitatufanya twebde tu, Dah, hali inatisha:
Video clip inapanda taratibu.
View attachment 2826807
Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.Hahahaha, waende tu wakalimwe vizuri.
Hivi hiki kinglish alicho ongea hapo ndio ulichoshindwa kukuelewa au hujasikiliza?huko shuleni ulienda kusomea niniMapya haya sasa, Mazayunni wameanza kuchukuwa askari wa kukodiwa Malawi, wanajuwa dhiki zetu Afrika na pesa wanayotowa zitatufanya twebde tu, Dah, hali inatisha:
Video clip inapanda taratibu.
View attachment 2826830
View attachment 2826807
Nenda na wewe unangoja nini, sasa hivi huko kazi kibao.Hata Tanzania tulipeleka wanafunzi zaidi ya 200,kwenda kujifunza kilimo na hawa wamalawi huyo mzungu anaelezea hivyohivyo kwamba wanaenda kujifunza kilimo ila wewe kwa kuwa ulikaza elimu ya ahera(hell) ukaacha elimu dunia umeamua kutafuta attention ya kuichafua Israel na malawi.
Kwahiyo kujichamba ndo furaha yakoAkili unazo wewe tu, ambae hata kuchamba huelewi.
Rudi juu kuna audio na video attachments, kazi kwako.
Yote yanawezekana, you might be wright!Hiyo weenyewe wanavujisha, unafikiri wote wanakubaliana na dhuIma inayofanyika huko?
Amna yeye anaelewa kabisa...ila ametarget hii post kwa wale waswahili wasiojua kiiingereza, ambao ndo majority ya washinda vijiwen kwenye draft na alkasusu, wenye elim ya madrasat tu.Hivi hiki kinglish alicho ongea hapo ndio ulichoshindwa kukuelewa au hujasikiliza?huko shuleni ulienda kusomea nini
SANA SANAWe bibi ni msnegel
Sema hujayapenda tu, kawahi ubalozi wa mazayuni upo Dar hapo.Huyu bibi fyatu
Faiza, Mazayuni na Islam wote ni dugu moja, wote ni wapinga Kristo. Mnajuana.Mapya haya sasa, Mazayunni wameanza kuchukuwa askari wa kukodiwa Malawi, wanajuwa dhiki zetu Afrika na pesa wanayotowa zitatufanya twebde tu, Dah, hali inatisha:
Video clip inapanda taratibu.
View attachment 2826830
View attachment 2826807