Mazayuni walivyouliwa kwa wingi sasa wanachukuwa askari wa Kukodi kutokea Malawi

Mazayuni walivyouliwa kwa wingi sasa wanachukuwa askari wa Kukodi kutokea Malawi

Mapya haya sasa, Mazayunni wameanza kuchukuwa askari wa kukodiwa Malawi, wanajuwa dhiki zetu Afrika na pesa wanayotowa zitatufanya twebde tu, Dah, hali inatisha:

Video clip inapanda taratibu.

View attachment 2826807
haya yanafanyika kwa usiri mkubwa, sidhani kama wanaweza waandishi wa habari kupata nafasi kuiweka wazi hivi
 
Hata Tanzania tulipeleka wanafunzi zaidi ya 200,kwenda kujifunza kilimo na hawa wamalawi huyo mzungu anaelezea hivyohivyo kwamba wanaenda kujifunza kilimo ila wewe kwa kuwa ulikaza elimu ya ahera(hell) ukaacha elimu dunia umeamua kutafuta attention ya kuichafua Israel na malawi.
 
Hata Tanzania tulipeleka wanafunzi zaidi ya 200,kwenda kujifunza kilimo na hawa wamalawi huyo mzungu anaelezea hivyohivyo kwamba wanaenda kujifunza kilimo ila wewe kwa kuwa ulikaza elimu ya ahera(hell) ukaacha elimu dunia umeamua kutafuta attention ya kuichafua Israel na malawi.
Nenda na wewe unangoja nini, sasa hivi huko kazi kibao.
 
Hivi hiki kinglish alicho ongea hapo ndio ulichoshindwa kukuelewa au hujasikiliza?huko shuleni ulienda kusomea nini
Amna yeye anaelewa kabisa...ila ametarget hii post kwa wale waswahili wasiojua kiiingereza, ambao ndo majority ya washinda vijiwen kwenye draft na alkasusu, wenye elim ya madrasat tu.
 
Huyu bibi fyatu
Sema hujayapenda tu, kawahi ubalozi wa mazayuni upo Dar hapo.

Kawahi usiogope, Hamas masharti yao yote yamekubaliwa, sasa hivi hata UsA anaimba nchi mbili zinajitawala zenyewed.

Kawahi fursa, likibumburuka tena wakakufyeka, wajomba zako ushawatumia za kutosha kutamba kwa muda.
 
FaizaFoxy unajua kingereza kweli au unatuzuga watu wanakuita bibi qewe sio bibi bwana hawa watu wanaenda israeli kusoma nakufanya kazi kwa muda wa miaka kadhaa sio kwenda kupigana
 
Mtume mohamed alipofurushwa kutoka Macca alikimbia na kupokelewa, na kuhidhiwa na ma jew Madina. huko ndo Mohamed alipokutana na habari za kina Ibrahim akazicopy
 
Back
Top Bottom