Biblia inasema amebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzawa wa tumbo lake amebarikiwa.Huwezi kuwa Muislam kama unampinga Yesu.
Unaonesha huufahamu Uislam.
Kwa kukujuza t7 mama'ke Yesu katajwa kwenye Qur'an kuwa ni mwanamke bora katika wanawake wa ulimwengu, hata biblia haijampa sifa hiyo.
Unalielewa hilo?
Kweli huyu Bibi hamnazo analeta upumbavu. Yaani wayahudi washindwe kupigana na Hamas wakachukue wanyasa ndo wakapigane na Hamas? Wamalawi ndo wakalinde Israel kweli?Bana makalio, uache kujamba jamba kama nati zimelegea.
Israel kamwe haiwezi kuchukua askari kutoka Malawi. Kasome taarifa acha kukurupuka ka kanzu iliyoezuliwa na upepo.
Malawi iwe na wapiganaji wa kukodi? Umetoka kutawaza uso kiasi kwamba umepoteza na network. Uwezo wa kufikiri huna.
Kama inauma chomoa tu...We bibi ni msnegel
Uislamu na Mayahudi wote hawakubali kwamba Yesu ndiye Masia, ni Mwana wa Mungu, alitoka kwa Mungu na ni Mungu.Huwezi kuwa Muislam kama unampinga Yesu.
Unaonesha huufahamu Uislam.
Kwa kukujuza t7 mama'ke Yesu katajwa kwenye Qur'an kuwa ni mwanamke bora katika wanawake wa ulimwengu, hata biblia haijampa sifa hiyo.
Unalielewa hilo?
uwe unasoma na kuelewa, alifurushwa kutoka mecca akakimbilia madina.Tehtehteh,uwe unajifunza kwanza mambo,Sasa Madina alifurushwa kwa nini!?
Mapya haya sasa, Mazayunni wameanza kuchukuwa askari wa kukodiwa Malawi, wanajuwa dhiki zetu Afrika na pesa wanayotowa zitatufanya twebde tu, Dah, hali inatisha:
Video clip inapanda taratibu.
View attachment 2826830
View attachment 2826807
Nenda balozi ya mazayuni Dar, watakubusu kwa furaha, wanahitajii sana watu sasa hivi.
Anna Tibaijuka?Anna kunywa dawa za kupoza kichwa sio bure🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani vp blazza mbona povu au ulizani wazayuni ni immortals?Bana makalio, uache kujamba jamba kama nati zimelegea.
Israel kamwe haiwezi kuchukua askari kutoka Malawi. Kasome taarifa acha kukurupuka ka kanzu iliyoezuliwa na upepo.
Malawi iwe na wapiganaji wa kukodi? Umetoka kutawaza uso kiasi kwamba umepoteza na network. Uwezo wa kufikiri huna.
Kwa nini alifurushwa mecca!?uwe unasoma na kuelewa, alifurushwa kutoka mecca akakimbilia madina.
Unafahamu maana ya "jokes", umeuona huu uzi unaongelea nini?
nipo tayari ss je dalasa la saba wanakubal? naomba unielekeze ubaloz wao dada yangu. ila kingeleza najua cha kuongea kulko wenye erimu ya digriiNenda balozi ya mazayuni Dar, watakubusu kwa furaha, wanahitajii sana watu sasa hivi.