Mazda kwanini hazipendwi Tanzania ilhali bei yake ipo chini?

Mazda kwanini hazipendwi Tanzania ilhali bei yake ipo chini?

Ile kasumba ya kuaminishwa Toyota ndiyo kila kitu inaanza kupotea ndiyo maana sikuhizi utaona Magari tofauti mengi tu.

TATIZO la brand nyingine tofaut na Toyota ni pale utapoamuwa kuuza utapata usumbufu Sana mpaka uliuze Hilo gari.

Kuna brand ya honda crossroad yameanza kuingia Kwa fujo Tanzania ni bonge moja la gari alafu CC za haya Magari ni ndogo Tu yaani Cc 1790 na 1990 View attachment 1419207View attachment 1419206
Ila gari likiwa kubwa na cc hizo 1700 zinakua undepowered hatari.
 
Befoward wanauza magari ya daraja la chini kabisa ndio mana yamakua rahisi hebu check kwa wauzaji wengine uone bei ya hio gari.

The good, the bad and the ugly.
'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?
Be forward nilikuta mazda rx-7 swapped with 1jz-gte CIF yake ni $13,000 na gari hio hio nikaikuta Kule Trade car view CIF ni $17,400 na nikaikuta tena kwny Co. Nyingine ya japan inauzwa $18,100,hapo maana yake nini?

Na gari ni hio hio 1 maana VIN ni hio hio.
 
'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?
Be forward nilikuta mazda rx-7 swapped with 1jz-gte CIF yake ni $13,000 na gari hio hio nikaikuta Kule Trade car view CIF ni $17,400 na nikaikuta tena kwny Co. Nyingine ya japan inauzwa $18,100,hapo maana yake nini?

Na gari ni hio hio 1 maana VIN ni hio hio.
Akikujibu utani-tag aisee
 
'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?
Be forward nilikuta mazda rx-7 swapped with 1jz-gte CIF yake ni $13,000 na gari hio hio nikaikuta Kule Trade car view CIF ni $17,400 na nikaikuta tena kwny Co. Nyingine ya japan inauzwa $18,100,hapo maana yake nini?

Na gari ni hio hio 1 maana VIN ni hio hio.
Bei za makampuni haitofautiani sana autocom,autorec ,sbt ,enhance,trust,beforwad, trade car view bei zao za magari almost ni the same ila kinachotofautisha huwa ni km na mwaka wa gari
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ile kasumba ya kuaminishwa Toyota ndiyo kila kitu inaanza kupotea ndiyo maana sikuhizi utaona Magari tofauti mengi tu.

TATIZO la brand nyingine tofaut na Toyota ni pale utapoamuwa kuuza utapata usumbufu Sana mpaka uliuze Hilo gari.

Kuna brand ya honda crossroad yameanza kuingia Kwa fujo Tanzania ni bonge moja la gari alafu CC za haya Magari ni ndogo Tu yaani Cc 1790 na 1990 View attachment 1419207View attachment 1419206
Ili gari hapana aise nikilitizama kwa nyuma najikuta nipo Moshi.
 
Bei za makampuni haitofautiani sana autocom,autorec ,sbt ,enhance,trust,beforwad, trade car view bei zao za magari almost ni the same ila kinachotofautisha huwa ni km na mwaka wa gari
Unajua maana ya VIN boss?
 
'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?
Be forward nilikuta mazda rx-7 swapped with 1jz-gte CIF yake ni $13,000 na gari hio hio nikaikuta Kule Trade car view CIF ni $17,400 na nikaikuta tena kwny Co. Nyingine ya japan inauzwa $18,100,hapo maana yake nini?

Na gari ni hio hio 1 maana VIN ni hio hio.
Tena naona beforward kama wanajitahidi sana....wana magari mazuri kwa bei poa sana...na hata kama kuna tatizo wanaliweka wazi
 
Back
Top Bottom