Ila gari likiwa kubwa na cc hizo 1700 zinakua undepowered hatari.Ile kasumba ya kuaminishwa Toyota ndiyo kila kitu inaanza kupotea ndiyo maana sikuhizi utaona Magari tofauti mengi tu.
TATIZO la brand nyingine tofaut na Toyota ni pale utapoamuwa kuuza utapata usumbufu Sana mpaka uliuze Hilo gari.
Kuna brand ya honda crossroad yameanza kuingia Kwa fujo Tanzania ni bonge moja la gari alafu CC za haya Magari ni ndogo Tu yaani Cc 1790 na 1990 View attachment 1419207View attachment 1419206
'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?Befoward wanauza magari ya daraja la chini kabisa ndio mana yamakua rahisi hebu check kwa wauzaji wengine uone bei ya hio gari.
The good, the bad and the ugly.
Akikujibu utani-tag aisee'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?
Be forward nilikuta mazda rx-7 swapped with 1jz-gte CIF yake ni $13,000 na gari hio hio nikaikuta Kule Trade car view CIF ni $17,400 na nikaikuta tena kwny Co. Nyingine ya japan inauzwa $18,100,hapo maana yake nini?
Na gari ni hio hio 1 maana VIN ni hio hio.
Akikujibu utani-tag aisee
Bei za makampuni haitofautiani sana autocom,autorec ,sbt ,enhance,trust,beforwad, trade car view bei zao za magari almost ni the same ila kinachotofautisha huwa ni km na mwaka wa gari'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?
Be forward nilikuta mazda rx-7 swapped with 1jz-gte CIF yake ni $13,000 na gari hio hio nikaikuta Kule Trade car view CIF ni $17,400 na nikaikuta tena kwny Co. Nyingine ya japan inauzwa $18,100,hapo maana yake nini?
Na gari ni hio hio 1 maana VIN ni hio hio.
Ili gari hapana aise nikilitizama kwa nyuma najikuta nipo Moshi.Ile kasumba ya kuaminishwa Toyota ndiyo kila kitu inaanza kupotea ndiyo maana sikuhizi utaona Magari tofauti mengi tu.
TATIZO la brand nyingine tofaut na Toyota ni pale utapoamuwa kuuza utapata usumbufu Sana mpaka uliuze Hilo gari.
Kuna brand ya honda crossroad yameanza kuingia Kwa fujo Tanzania ni bonge moja la gari alafu CC za haya Magari ni ndogo Tu yaani Cc 1790 na 1990 View attachment 1419207View attachment 1419206
ukimaanisha!!??Ila gari likiwa kubwa na cc hizo 1700 zinakua undepowered hatari.
Si mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]Ili gari hapana aise nikilitizama kwa nyuma najikuta nipo Moshi.
Ila gari likiwa kubwa na cc hizo 1700 zinakua undepowered hatari.
Upo sahihi.Watz hatununui vitu sababu ni vizuri, tunanunua kama la flani. Ss hakuna jirani aliyenunua tumfananishie
Unajua maana ya VIN boss?Bei za makampuni haitofautiani sana autocom,autorec ,sbt ,enhance,trust,beforwad, trade car view bei zao za magari almost ni the same ila kinachotofautisha huwa ni km na mwaka wa gari
Achana na hayo ma turbo/superchager,naongelea natural aspired.Inategemea. Sio lazima iwe underpowered, especially kama ina turbo. Nachomaanisha numbers za cc peke yake zinaeleza nusu ya story tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
SUV/CUV ikiwa na hizo CC inakua underpowered,power to weight ratio inazingua.ukimaanisha!!??
Eeh tufafanulie mkuu maana ya VINUnajua maana ya VIN boss?
Tena naona beforward kama wanajitahidi sana....wana magari mazuri kwa bei poa sana...na hata kama kuna tatizo wanaliweka wazi'Ya daraja la chini kabisa na ndio maana yanauzwa bei ya chini kabisa',hio sentensi unamaanisha nini boss?
Be forward nilikuta mazda rx-7 swapped with 1jz-gte CIF yake ni $13,000 na gari hio hio nikaikuta Kule Trade car view CIF ni $17,400 na nikaikuta tena kwny Co. Nyingine ya japan inauzwa $18,100,hapo maana yake nini?
Na gari ni hio hio 1 maana VIN ni hio hio.