Benz sio reliable, BMW sio relioable, Audi sio reliable. Hata mafundi wakiwepo. Hivi ushawahi kujiuliza kwanini brand tajwa hapo zina depreciate kwa haraka?Mjomba wacha utani Benz sio reliable? BMW sio reliable? Audi sio reliable? Tatizo bongo hakuna mafundi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuliko kapuku kama weweMara nying maskini wengi hupenda ufahari na ndivyo ilivyo kwako.
Sio suala la mawazo ya kimaskini. Tunaongelea hata mtu ana milioni 20 hadi 25 hapo anawaza anunue BMW, Benz, au Toyota. Akinunua toyota bado mtamwita maskini? Ukweli ni kwamba suala la kusubiri spare itoke nje ya nchi tena Ulaya ni stress tu hata kama una hari nyingine ya backup
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaouza magari quality toka Japan wanaitwa Japanesevehicles.com humo bei zake unakaa...Bei za makampuni haitofautiani sana autocom,autorec ,sbt ,enhance,trust,beforwad, trade car view bei zao za magari almost ni the same ila kinachotofautisha huwa ni km na mwaka wa gari
Unazungumzia oil service ya gari gani ya Toyota kwa hio 50,000 mfano mimi natumia surf ya 1994 3000CC oil inahitajika ni 7.5 Litres nanua Total 7400 TIR lita i.e 8 au 10 kidumu cha lita 5 ni 45,000 kuongezea 10,000 x 3 = 30,000,
TRA ndo wanaharibu mambo sana yani Camry na Lexus IS 250 wameweka CIF kubwa sana yani inabidi kitengo cha valuation wakifumue waweke watoto wa mjini sio unaweka mtu katoka Misungwi au Sengerema halafu unamwambia aifanyie valuation gari za luxury matokeo yake wote tunanunua Altezza na Crown tukibadili ni SubaruHebu cheki Lexus Ls460 ya miaka 11 iliyopita ambayo iko kwny category 1 na hio series 7 uone kama utaikuta hata 1 ambayo bei yake ina-range kwny hizo $2500-3000,huwezi kupata kamwe.
Watu wanaouza magari quality toka Japan wanaitwa Japanesevehicles.com humo bei zake unakaa...
TRA ndo wanaharibu mambo sana yani Camry na Lexus IS 250 wameweka CIF kubwa sana yani inabidi kitengo cha valuation wakifumue waweke watoto wa mjini sio unaweka mtu katoka Misungwi au Sengerema halafu unamwambia aifanyie valuation gari za luxury matokeo yake wote tunanunua Altezza na Crown tukibadili ni Subaru
Bora umenielewa mkuu ukimaliza nenda kaicheki valuation ya VW Jetta ya 2009 ni 17,000,000 wakati CIF ya gari $2800-3500Hahah mzee baba umeongea bonge la point aisee,pale TRA wangemuweka muhuni anayejua magari mjini hapa kungekua na magari ya kifahari/maana hatari sana.
Cheki picha hapo chini,hio ni porsche Cayenne ya 2005 CIF yake $4,478 huko be forward,ila jamaa wa TRA wao wakaikadiria CIF yake ni $10,015...
Kama simu ina IMEIVehicle Identification Number. (VIN)
Kila gari ina VIN yake kama sisi kila mmoja wetu alivyo na Fingerprint zake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazungumzia Engine oil service, kwenye gari ya altezza nimefanya oil change ya 40,000 synthetic oil hio bei ina inlcude na oil filter. Sasa kwa gari ya altezza inafanana na BMW 5 series, hebu niambie oil change kiasi gani mnachajiwa.Unazungumzia oil service ya gari gani ya Toyota kwa hio 50,000 mfano mimi natumia surf ya 1994 3000CC oil inahitajika ni 7.5 Litres nanua Total 7400 TIR lita i.e 8 au 10 kidumu cha lita 5 ni 45,000 kuongezea 10,000 x 3 = 30,000 , ATF Castrol Dex II 68,000 lita 4 nikiongezea 3 x 12,000 = 36,000 oil na fuel filter za bei rahisi 15,000 x 2 = 30,000, labour charge 20,000 = 75,000 + 104,000 + 50,000 = 229,000
Gari nayoitumia mimi imefika Tanzania 2009 May, gari yenyewe manufactured ni 1994 ni kweli gearbox ilikua inasumbua ila hii hesabu ya transmission ni baada ya kuishusha chini na kuirekebisha lakini hata kama tukitoa hesabu ya transmission fluid bado oil na vitu vyengine kama filter etc.Nazungumzia Engine oil service, kwenye gari ya altezza nimefanya oil change ya 40,000 synthetic oil hio bei ina inlcude na oil filter. Sasa kwa gari ya altezza inafanana na BMW 5 series, hebu niambie oil change kiasi gani mnachajiwa.
Umeweka hesabu za transmission fluid, transmission lako bovu kiasi kwamba everytime ukifanya engine oil service inakulazimu ufanye na transmission fluid? Transmission fluid sio kitu cha kubadilishwa badilishwa kila unapofanya engine service.
Nna gari ambayo tangu ishuke nchini ni 5 years na hii ni gari ya mwaka 2000, sijawahi kubadilisha transmission fluid tangu ishuke, na sijawahi kupata tatizo lolote la transmission hadi leo, haijawahi kuguswa!
Gari nayoitumia mimi imefika Tanzania 2009 May, gari yenyewe manufactured ni 1994 ni kweli gearbox ilikua inasumbua ila hii hesabu ya transmission ni baada ya kuishusha chini na kuirekebisha lakini hata kama tukitoa hesabu ya transmission fluid bado oil na vitu vyengine kama filter etc haipungui chini ya 120,000 labda sababu hii ninayotumia mimi ni SUV na unayotumia wewe ni sedan ila mpango wangu ni kununua hio Altezza nimeona maintenance yake ni ndogo sana sasa linganisha hapo ila pia nadhani kunatofauti kati ya service ya gari inayotumia Diesel na Petrol
'Nazungumzia Engine oil service, kwenye gari ya altezza nimefanya oil change ya 40,000 synthetic oil hio bei ina inlcude na oil filter.'Nazungumzia Engine oil service, kwenye gari ya altezza nimefanya oil change ya 40,000 synthetic oil hio bei ina inlcude na oil filter. Sasa kwa gari ya altezza inafanana na BMW 5 series, hebu niambie oil change kiasi gani mnachajiwa.
Umeweka hesabu za transmission fluid, transmission lako bovu kiasi kwamba everytime ukifanya engine oil service inakulazimu ufanye na transmission fluid? Transmission fluid sio kitu cha kubadilishwa badilishwa kila unapofanya engine service.
Nna gari ambayo tangu ishuke nchini ni 5 years na hii ni gari ya mwaka 2000, sijawahi kubadilisha transmission fluid tangu ishuke, na sijawahi kupata tatizo lolote la transmission hadi leo, haijawahi kuguswa!
Aisee hapo uwezekano wa kuishia kuziona tu kwa macho ni mkubwa aisee.Bora umenielewa mkuu ukimaliza nenda kaicheki valuation ya VW Jetta ya 2009 ni 17,000,000 wakati CIF ya gari $2800-3500
40,000/- synthetic engine oil pamoja na oil filter kwenye Altezza.....[emoji848][emoji848][emoji848]Nazungumzia Engine oil service, kwenye gari ya altezza nimefanya oil change ya 40,000 synthetic oil hio bei ina inlcude na oil filter. Sasa kwa gari ya altezza inafanana na BMW 5 series, hebu niambie oil change kiasi gani mnachajiwa.
Umeweka hesabu za transmission fluid, transmission lako bovu kiasi kwamba everytime ukifanya engine oil service inakulazimu ufanye na transmission fluid? Transmission fluid sio kitu cha kubadilishwa badilishwa kila unapofanya engine service.
Nna gari ambayo tangu ishuke nchini ni 5 years na hii ni gari ya mwaka 2000, sijawahi kubadilisha transmission fluid tangu ishuke, na sijawahi kupata tatizo lolote la transmission hadi leo, haijawahi kuguswa!
Nazungumzia Engine oil service, kwenye gari ya altezza nimefanya oil change ya 40,000 synthetic oil hio bei ina inlcude na oil filter. Sasa kwa gari ya altezza inafanana na BMW 5 series, hebu niambie oil change kiasi gani mnachajiwa.
Umeweka hesabu za transmission fluid, transmission lako bovu kiasi kwamba everytime ukifanya engine oil service inakulazimu ufanye na transmission fluid? Transmission fluid sio kitu cha kubadilishwa badilishwa kila unapofanya engine service.
Nna gari ambayo tangu ishuke nchini ni 5 years na hii ni gari ya mwaka 2000, sijawahi kubadilisha transmission fluid tangu ishuke, na sijawahi kupata tatizo lolote la transmission hadi leo, haijawahi kuguswa!
40,000/- synthetic engine oil pamoja na oil filter kwenye Altezza.....[emoji848][emoji848][emoji848]
Hatari sana....
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mi mwenyewe nimeshtuka aisee,ila nasubiri majibu ya mdau nione hio brand anayotumia.Mzee synthetic oil gani 40,000? Castrol 5w30 synthetic 5L ni zaidi ya laki
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mi mwenyewe nimeshtuka aisee,ila nasubiri majibu ya mdau nione hio brand anayotumia.