Kwa sababu gari za toyota ni reliable. Izo za miaka ya 90 ni reliable kuliko BMW/Merc za miaka ya karibuni.
Zina low cost of maintainance. Izo brand kama BMW na MERC, AUDI na wenzao, gari zao zina depreciate kwa haraka sana. Unaweza kupata 2002 BMW 7 series kwa $1500 (bei ya gari tu) ambayo ni flagship model yenye features ambazo Markx, Camry na Crown haziingii ndani, unajua kwanini? Kwa sababu sio reliable, zinaharibika mara moja, service cost ni ghali, spare zake ni ghali ila ukija kwa toyota ni story nyengine.
Bei za magari mengine ndio sio reasonable, ila toyota, kwa kitu ambacho unadumu nacho miaka 20-30 zipo reasonable.