Mazee, kila nikimkumbuka ex-gf wangu lazima nijilipue, hii imekaaje!!?

Kinachonisikitisha ni hapo uliposema umemla mtoto wa watu toka akiwa form2 so sad kwa kweli,kweli kuna watu na nguruwe humu duniani,umekaharibia maisha then sio wife material
 
jambaz pole sana aisee
 
Hivi kwa wataalamu. Mtu unaweza kujilipua vitatu mfululizo??
 
Yaani wewe huyo binti wa watu ulimtumia sana na ndio maana unapata shida ya kujilipua kila mara. yaelekea ulimgeuza mke kabisa alafu unamdump? wewe mbaya sana. umeharibu mwelekeo wa binti wa watu. Hizo sababu za kumuacha hata hazina mashiko. sasa ulitegemea binti atajitimiziaje mahitaji yake bila kuwa na hela? pia bado ni mdogo ungemjenga tu na angekuwa WIFE MATERIAL unayotaka. Usione vyaelea vimeundwa atiiiiiiiii
 
Mrudie usimuache japo wa kujipoza tu. Halafu kuhusu hela sio lazma umtumie pesa nyingi. Mtumie kiasi kdg hata kama hajakuomba japo kwa mwezi mara moja tu akuone unamjali.
wa kupoooza? kwani mna moto nyie au? jst a quick question
 
Hahahahahhahahahahahhahahahahahhahahahahahhahahahahahahahhahahahhahahahhahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahhahahahahhahahha..............hehehehehehhehehhwhehshbehebbeehehwenhwhwhwhwhhehhehehehehehhehhehhehehhehehhehehehehhehehehehehehhehwhhwhwhwhehhehw.....hihihihihihihhihiihihihihiihihihihihihiigihigiihigiigiihihiihiihihihihihihiihihihihihiihgiigigigi...........huhuhuhuhuhuhuhuh
 
Hayo ni machozi ya huyo binti alijua amepata mume nawe ghafla ukamtema hiyo ndo adhabu yako.
 
kwani wewe nn kinakufanya ukatae kwa mfano
Hakuna mwanamke atakwambia alikuwa na mwengine duniani[emoji3] [emoji3]
Akijitahidi sana atakwambia alikuwa na mmoja tu alieanza nae na hata hampendi kila mtu kivyake.

Tukirudi kwenye thread mtalaka hatongozwi
 
Hakuna mwanamke atakwambia alikuwa na mwengine duniani[emoji3] [emoji3]
Akijitahidi sana atakwambia alikuwa na mmoja tu alieanza nae na hata hampendi kila mtu kivyake.

Tukirudi kwenye thread mtalaka hatongozwi
hahahhaahaha napendaje mutu ambayo haikasiriki ovyo? mwingine anakujia na mitusi mingi. Ni kweli mtalaka hatongozwi looooh
 
Hapo kwenye rangi panahusu. Mtafute ili uendelee kumgegeda inaelekea huyu bado anairusha roho yako kwa kiwango cha juu pamoja na mapungufu yake kama mwanamke.

 
Hapo kwenye rangi panahusu. Mtafute ili uendelee kumgegeda inaelekea huyu bado anairusha roho yako kwa kiwango cha juu pamoja na mapungufu yake kama mwanamke.
Inaonekana anairusha roho yake kama ile ndege tulioletewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…