Mazeru Karate

Mazeru Karate

Krav maga origin yake ni Urusi. Idea ya krav maga ni kwamba unayepambana naye ana silaha so unatakiwa kushambulia kwa haraka kisha unakimbia.

Kung'ata, kufinya, kutumia mawe vyote sawa
Hata mawe unaweza kutumia nzuri sana hii.
 
Naomba nikusaidie 'Masta'kama mnavyopenda kujiita..kwa majibu haya unaendelea kujiumbua kwa sisi tunafahamu..Karate au Martial Arts sio kujua kurusha mateke tu..ni filisofia au dini yenye misingi ya kutokuwa mshari na kujisifia na mambo mengine mengi.
Karate ni busara na unyenyekevu, kama mlipukaji hivyo hizi sifa za kufundisha wengine sijui unazitoa wapi? tena una brand yako kabisa ..shida sana na matapeli wa taaluma za watu hawataisha Tanzania.
 
Naomba nikusaidie 'Masta'kama mnavyopenda kujiita..kwa majibu haya unaendelea kujiumbua kwa sisi tunafahamu..Karate au Martial Arts sio kujua kurusha mateke tu..ni filisofia au dini yenye misingi ya kutokuwa mshari na kujisifia na mambo mengine mengi.
Karate ni busara na unyenyekevu, kama mlipukaji hivyo hizi sifa za kufundisha wengine sijui unazitoa wapi? tena una brand yako kabisa ..shida sana na matapeli wa taaluma za watu hawataisha Tanzania.
Ndio hawahawa wakujifunza uchochoroni tu. Nayeye anatafuta wake [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba nikusaidie 'Masta'kama mnavyopenda kujiita..kwa majibu haya unaendelea kujiumbua kwa sisi tunafahamu..Karate au Martial Arts sio kujua kurusha mateke tu..ni filisofia au dini yenye misingi ya kutokuwa mshari na kujisifia na mambo mengine mengi.
Karate ni busara na unyenyekevu, kama mlipukaji hivyo hizi sifa za kufundisha wengine sijui unazitoa wapi? tena una brand yako kabisa ..shida sana na matapeli wa taaluma za watu hawataisha Tanzania.
Mimi na tengeneza Njia yangu, ili wengine wapite salama, alafu wewe unatia viziwizi ili watu wasipite . Nahapa unataka niwe mnyenyekevu tu . Hapana unyenyekevu haupo ivyo. Inapo bidi nilazima nisafishe Njia ili Njia yangu iaminike na watu wapite salama,bila ya hofu Wala kiziwizi chochote kile.
 
Mimi na tengeneza Njia yangu, ili wengine wapite salama, alafu wewe unatia viziwizi ili watu wasipite . Nahapa unataka niwe mnyenyekevu tu . Hapana unyenyekevu haupo ivyo. Inapo bidi nilazima nisafishe Njia ili Njia yangu iaminike na watu wapite salama,bila ya hofu Wala kiziwizi chochote kile.
Alafu mimi sipendi kuitwa master, ila kama unaona Mimi nimejifunza
Vichochoroni sawa, wewe uliojifunza kwenye vyuo vikubwa . Njoo chuoni kwangu uyakinishe unayoyasema .Mimi nipo tayari kupigana na mtu yoyote yule ambae anajifanya yeye anajua kuliko wengine. Na mwenye maneno ya kejeli . Watu wa aina yenu mpo wengi
Sana ila dawa yenu nikuwanyoosha tu ndio mtaamini kuwa Tanzania Kuna watu wanauwezo. Hi
 
Mi naomba kuuliza, kuna Kara te, Kung fu, Boxing, Tai chi n.k sijui kama IP MAN nayo imo..... ila swalli langu katika Michezo hii yote ni mchezo upi ambao Mtu akijifunza basi huyo atakua kashindikana, yaani ukienda na Kung fu atakuchapa, ukienda na Boxing yake utachezea n.k???
 
Mi naomba kuuliza, kuna Kara te, Kung fu, Boxing, Tai chi n.k sijui kama IP MAN nayo imo..... ila swalli langu katika Michezo hii yote ni mchezo upi ambao Mtu akijifunza basi huyo atakua kashindikana, yaani ukienda na Kung fu atakuchapa, ukienda na Boxing yake utachezea n.k???
Mh,,sijui kama upo uo mchezo wa kuzidi michezo yote,minilishaona mcheza kung fu kakaa kwa kick boxing na pia kick boxing kakaa kwa kung fu.
Ila MMA naona angalau ni wabaya zaidi kwenye michezo hii ya mapigano.
 
Mi naomba kuuliza, kuna Kara te, Kung fu, Boxing, Tai chi n.k sijui kama IP MAN nayo imo..... ila swalli langu katika Michezo hii yote ni mchezo upi ambao Mtu akijifunza basi huyo atakua kashindikana, yaani ukienda na Kung fu atakuchapa, ukienda na Boxing yake utachezea n.k???
Hakuna Sanaa Ya mapigano Bora kuliko nyingine, ila itategemea na uwezo wa msanii mwenyewe.
 
Mimi na tengeneza Njia yangu, ili wengine wapite salama, alafu wewe unatia viziwizi ili watu wasipite . Nahapa unataka niwe mnyenyekevu tu . Hapana unyenyekevu haupo ivyo. Inapo bidi nilazima nisafishe Njia ili Njia yangu iaminike na watu wapite salama,bila ya hofu Wala kiziwizi chochote kile.
Hauna u master wowote wewe

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Alafu mimi sipendi kuitwa master, ila kama unaona Mimi nimejifunza
Vichochoroni sawa, wewe uliojifunza kwenye vyuo vikubwa . Njoo chuoni kwangu uyakinishe unayoyasema .Mimi nipo tayari kupigana na mtu yoyote yule ambae anajifanya yeye anajua kuliko wengine. Na mwenye maneno ya kejeli . Watu wa aina yenu mpo wengi
Sana ila dawa yenu nikuwanyoosha tu ndio mtaamini kuwa Tanzania Kuna watu wanauwezo. Hi
Njoo Airwing hapa tupigane jeshini mbwa wewe

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom