Mazingaombwe (Jugglery) ni Sayansi au Uchawi?

Mazingaombwe (Jugglery) ni Sayansi au Uchawi?

TANESCO MNAHARIBU BIASHARA KUMANINA ZENU KODI ZETU ZINATUMIKA KUFULIA UMEME ULIYEZIMA SWICHI HAPO UBUNGO EM WASHA UMEME SABABAU UNAJUA NI WAPI ULIPOZIMA UMEME HAYA FANYA HARAKA SABABU NAKUJUA NITAKUSHIKISHA UKUTA LEO
 
hii thread nimeisoma mwanzo mpaka mwisho nacomment hapa,
kuna watu jf ni story teller na hadithi za kujua kwingi kumbe hamna kitu mfano nicholax alianza kunishawishi huenda ningejifunza kitu kuhusu mazingaombwe yanayoonekana ni complex kama ya dynamo.

mwisho wa siku hata mfano wa magic trick moja aliyosisitizwa aelekeze akazuga kama haoni comment akalala mbele ,

mara mbeleni akaja rakims ,nicholax akavuta pumzi akijua rakims ataokoa jahazi so akawa anamkomalia rakims atoe mfano na uelekezaji wa magical tricks
hahahaaah mmeni discourage mno kama mtu hujui ni mara mia uchangie kikawaida kuliko kuwatoa imani watu walianza kuwaamini

btw mimi naamini kuna tricks(mbinu za kawaida) kwenye mazingaombae na pia kuna mazingaombwe yanayotumia uchawi
 
Kuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Kuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
hahaaaaaaaaaaa
 
Kuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
Hahahahaha...! Hiyo ndo S/Wanga.
 
buche buche puuu
buche buche puu

sheby mwanaprofesa anakuja na uchawi wa dunia, buche buche pu.


Afu mwingine alikuwa anasema. . .

Slowly slowly, please give me 2X

Onyo: mkisoma haya maneno, mnapoteza sehemu zinazowatambulisha kama huyu ni Juma au Asha.
We mtu umenifanya nijikague..
 
dah umenikumbusha mbali sana mkuu. enzi hizo primary. shilingi kumi ya noti, shilingi ishirini ya noti blue, hamsini noti nyekundu.

jamaa wanageuza karatasi kuwa pesa. wanadai mazingaombwe ni ujanja na wepesi.
 
Mazingaombwe yapo katika aina mbili

1. Ujanja ujanja (tricks).
Hapo mwonyeshaji anatumia ujanja kuficha kitu na kukionyesha au kufanya jambo bila watu kugundua amelifanya kwa namna gani.

2. Uchawi (wichcraft)
Hapo mwonyeshaji anatumia mbinu za ki ufundi za kichawi kufanya jambo bila watazamaji kujua amelifanyeje

Mfano. Kuna mwaka mmoja nimeusahau, kwenye viwanja vya maonyesho ya sabasaba Kilwa road,
Kuna mwonyeshaji alikata kichwa cha mtu akaweka kwenye sinia na kilikuwa kunajibu maswali ya watu kwa lugha ya kifaransa, kiingereza, kiswahili na kiarabu, kwa kulipia.
Yaani unalipa pesa na unajibiwa maswali yako.
Kichwa kilikuwa kwenye sinia lililowekwa juu ya meza, ukichungulia chini hakuna kiwiliwili,
Uchawi huo
 
Enzi zile nasoma shule ya msingi kulikuwa na vijana waliokuwa wakija shule kwa ajili ya mazingombwe. Walikuwa wakifika shuleni mara kwa mara kwa ajili ya maonyesho hayo.

Walikuwa wakipewa kibali na mwl mkuu/mwl wa michezo pamoja na kupewa darasa la kufanyia mazingambwe yao kama ukumbi. Pia kulikuwa kiingilio ili kuweza kuingia ukumbini (darasani) kwa ajili ya kuangalia mazingaombwe hayo.

Ndani ya ukumbi, wanaofanyia mazingaombwe walikuwa wakifanya vituko mbalimbali ambavyo baada ya kuvikumbuka nikaamua kuleta uzi huu kwenye hili jamvi la chitchat ili tukumbushane. Nakumbuka:

  • Kuna siku walimuita mvulana mmoja wakampasua tumbo hadi utumbo ukawa unaonekana kwa nje, baadae wakaongea maneno fulani yule mtu akazinduka na hakuwa na kovu lolote lile
  • Siku nyingine wilimuita mtoto aliyekuwa mdogo kuliko wote darasani wakamuweka ndani ya gunia lililokuwa tupu mara baada ya dakika kadhaa... pipi na biskut zikajaa kwenye lile gunia...
Naombeni tukumbushane vituko vyilivyokuwa vikifanyika kwenye mazingaombwe

Vilevile nimejiuliza maswali yafuatayo:
  1. Nini kilikuwa kinasababisha tuone mtu aliyepasuliwa tumbo hana hata kovu eneo lililopasuliwa?
  2. Mazingaombwe bado yanafanyika mashuleni mpaka sasa?
  3. Je Wizara ya Elimu ilikuwa inakuridhia mazingaombwe kufanyika mashuleni?
Mtazamo wako ukoje katika haya?
Mazingaombwe yana-base partly kwenye Principlas za Spritual Science na pia za Emperical Science ila Sayansi tunayosoma shuleni ni Emperical Science pure, hivyo hivi vyote viwili ni Sayansi! For example God is all knowing, He is Omni-SCIENT. Sceince is just something to do with possession/search of knowledge/new and advanced knowledge and so in principal, anything that has to do with the ultimate search and discovery of new knowledge is Science and that is why we have several disciplines in science such as Political Science, Social sciences, etc etc
 
Kuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
[emoji1] [emoji23]
 
Mchezo wa mazingaombwe una miujiza ya wazi,na huenda Muumba huwatumia watu hawa kuonyesha miujiza,nakataa mazingaombwe si uchawi.

Kinachotakiwa ni kuwadadisi kwa kina wanaofanya mazingaombwe hutumia dawa zipi? ili watafiti wazifanyie utafiti.
 
Back
Top Bottom