BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
🤣🤣 hawezi amini yakimtokeanatamani maisha ya kweli yangekuwa kama ulivyoandika lakini ayo matukio yangekutokea ww mwnyw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 hawezi amini yakimtokeanatamani maisha ya kweli yangekuwa kama ulivyoandika lakini ayo matukio yangekutokea ww mwnyw
Kama yeye anajotoa hivyo, wewe unajitoa aje?Mkeo akiliwa kwa situation zifuatazo lazma umsamehe
1. Azin ili apate chakula Cha watoto,wew ukiwa umefulia
2.kugongwa mbele yako wakat mmevamiwa na majambazi
3. Akizini kwa lengo la kuokoa maisha yako,mfano unaumwa harafu hakuna hela ya matibabu,haraf akapata mwenye hela kwa shart la kumla.
Ongezeen na zngne wadau
Huna utani na watu wa migombani wwTatizo helimu watazania wengi awana ndio mahana.
Mii mwenewe nimeshanaga sana hanaadikaje pumba Kama ivo.Ila kugongewa hakuna exichuzi,ukishajua umegongewa unamzalau mkeo
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hata wewe pia elimu ni changamoto..
Mambo mengine muwe mnapotezea tu, inashindikana vipi kufocus kwenye mada kuliko kukagua makosa ya mwandishi?, JF ni sehem ya watu wengi, level tofauti tofauti, utaifa tofauti tofauti na ujuzi wa lugha tofaut tofauti, hatuko sawa humu, kama wew unajiona msomi mzuri wa kiswahil basi juwa kuna wasomi zaid yako wenye lugha zaid ya4, kiswahil,kiingereza,kifaransa,kichina, hivyo kukosea Spelling ktk lugha moja si kosa, chamuhimu hoja ama mada imeeleweka.Sasa mbona "hela" umeandika vizuri....halafu ukabomoa kwenye "harafu"?
Ndo tulivyo Watanzania,yaan mtu kufaham tu spelling nae anajiona bonge la mtuMambo mengine muwe mnapotezea tu, inashindikana vipi kufocus kwenye mada kuliko kukagua makosa ya mwandishi?, JF ni sehem ya watu wengi, level tofauti tofauti, utaifa tofauti tofauti na ujuzi wa lugha tofaut tofauti, hatuko sawa humu, kama wew unajiona msomi mzuri wa kiswahil basi juwa kuna wasomi zaid yako wenye lugha zaid ya4, kiswahil,kiingereza,kifaransa,kichina, hivyo kukosea Spelling ktk lugha moja si kosa, chamuhimu hoja ama mada imeeleweka.
Pia wapo baba na mama zenu humu waliosoma elimu ya zaman wakaishia darasa la8, unalijua? Hawa kukosea kuandika ni kawaida sana,
Hii tabia ya kusubiri mtu akosee na ukosoe huo ni upumbavu sana
Mkeo akiliwa kwa situation zifuatazo lazma umsamehe
1. Azin ili apate chakula Cha watoto,wew ukiwa umefulia
2.kugongwa mbele yako wakat mmevamiwa na majambazi
3. Akizini kwa lengo la kuokoa maisha yako,mfano unaumwa harafu hakuna hela ya matibabu,haraf akapata mwenye hela kwa shart la kumla.
Ongezeen na zngne wadau
HahahahaaaSasa mbona "hela" umeandika vizuri....halafu ukabomoa kwenye "harafu"?
Akimpa mkuu wa kituo ili wewe utoke lockupMkeo akiliwa kwa situation zifuatazo lazma umsamehe
1. Azin ili apate chakula Cha watoto,wew ukiwa umefulia
2.kugongwa mbele yako wakat mmevamiwa na majambazi
3. Akizini kwa lengo la kuokoa maisha yako,mfano unaumwa harafu hakuna hela ya matibabu,haraf akapata mwenye hela kwa shart la kumla.
Ongezeen na zngne wadau
Duh! Kwa iyo na wewe ukaamua kutupiga kitu cha "mahana"...."hanaandikaje" na kama haitoshi ukamalizia na "unamzalau".Tatizo helimu watazania wengi awana ndio mahana.
Mii mwenewe nimeshanaga sana hanaadikaje pumba Kama ivo.Ila kugongewa hakuna exichuzi,ukishajua umegongewa unamzalau mkeo
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu, lazma tujivunie kiswahili jameni... ila nimekusoma. Inaeleweka.Mambo mengine muwe mnapotezea tu, inashindikana vipi kufocus kwenye mada kuliko kukagua makosa ya mwandishi?, JF ni sehem ya watu wengi, level tofauti tofauti, utaifa tofauti tofauti na ujuzi wa lugha tofaut tofauti, hatuko sawa humu, kama wew unajiona msomi mzuri wa kiswahil basi juwa kuna wasomi zaid yako wenye lugha zaid ya4, kiswahil,kiingereza,kifaransa,kichina, hivyo kukosea Spelling ktk lugha moja si kosa, chamuhimu hoja ama mada imeeleweka.
Pia wapo baba na mama zenu humu waliosoma elimu ya zaman wakaishia darasa la8, unalijua? Hawa kukosea kuandika ni kawaida sana,
Hii tabia ya kusubiri mtu akosee na ukosoe huo ni upumbavu sana