Mazingira gani ambayo ulipoteza / kuibiwa simu, ambayo hutoyasahau?

Ila ulimshika au???
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani wew unaona mtu amekuibiaa kabisa alafu ukavungaa kama hujui??? Wanawake bhanaa kwamba alikuwa anakukojoza vizuri sanaa au???
 
Aisee siki hiyo naendaa chuoni kwa ajili ya maandalizi ya Graduation si nikapanda mwendokasii yanii bora hata nisingeenda aisee kugombania gari pale Kimaraa nikaingia nikakaa sasa nikasema nianze kuchat kidogoo aisee Hakuna Mshtukoo unaozidi huu dunianii... mfuko mweupeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Samsung A12 yangu mpya tena nlinunua kwa mwana wa jf hapa hapaa aisee rohoo iliniumaa sanaaa... Mwendokasi ikabidi ipitilize mpaka mwisho wa safari hakuna mtu kushukaa.. walinzi walikagua watu wote lakini wapi nlitokaa kapaaa. WEZI SHENZI SANA
 

Kituo cha Kati ni kituo gani? Nimeuliza swali hili kwa sababu hata kituo kikuu cha polisi watu wenye elimu ndogo huita kituo cha kati eti kwa sababu kimeandikwa Central Police Station! Nina wasi wasi watu hao hao wanaweza kuita Central Bank ni benki ya Kati badala ya Benki Kuu! Hata serikali kuu wanaweza kuita Serikal ya Kati kwa sababu inaitwa Central Government!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani wew unaona mtu amekuibiaa kabisa alafu ukavungaa kama hujui??? Wanawake bhanaa kwamba alikuwa anakukojoza vizuri sanaa au???
Mwanzo I thought nilikua Kama naotaaa akili imekuja kurud badae sanaaaa yan ndo kugundua haikua ndoto at all, na nilimshikilia sanaa lakin alikua anasimamia point yake
 
Hata Police wenyewe wajiita kituo cha kati Sasa mi nan?
 
Pole sana mkuu ukute ndio umemtumia SMS mtoto mzuri afu unasubiri jibu kukuta cm hamnaaa
 
Duh inafikilisha sana ko Bado uliendelea kumpa tunda kibaka, mapenzi bhana
 
Kama nakuona ullvyyokua umekamatilia cm yako ulipokua nao
 
Duh hii kali
 
Wanaume wa Dar ni waoga mno ndio maana hawakukusaidia
 
Maakonda wanajuanaga na hao, kwanza hawalipagi nauli
 

Nilikua msibani ……. basi bhana asa m nikajua kule msibani watu hawaibi ilikua tunalala kulekule

so kule kwa nje kibarazani kulikua na sehemu ya kuchajia nikchukua Infinix yangu sina hili wala lile nikachomeka chaji (simu nimechaji nje hapo) nikarudi ndani kulala [emoji3064][emoji3064]

Kesho asubui nakuta chaji tu [emoji31][emoji31][emoji31] watu wabaya hadi msibani wanaiba its shame
 
Polee sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…