Hahahaaaa, mkuu genye mbaya sana, kuna wakati nakumbuka matukio yangu na muonekano wangu naona kaa si mimi namsaidia shetani.Wewe ndio umetia fora kwa kweli .., nimecheka sanaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wala sio mmama mkuu tunalingana age sema ana mwili zaidi yangu na pesa ipo sana na hapo ndio naonekana mdogo hahahaaa,Weye kiboko Mama huyo kaonja asali hivyo atachonga mzinga.
Angalia ngoma kaka SambokoWala sio mmama mkuu tunalingana age sema ana mwili zaidi yangu na pesa ipo sana na hapo ndio naonekana mdogo hahahaaa,
Juzi j2 nilitoka kumhenyesha mitaa ya mbali kdg kaniachia na gari aliyomnunulia mamaake kijijini huko (ila mmewe hajui kaa kanunua gari) kaniambia niitumie hadi apate dereva wa kumpelekea, mafuta tank yangu nimepaki kwa sasa, wanawake hawa hatari sana.
Mwee me pia nimesoma hapoPumbfyu kumbe ww umesoma minaz milefu eeh,, mi nmesoma airwing primary
Tulikatana mida saa 6 mchana tukaenda cheki afya kwanza mkuu, maana alidai na ndomu haenjoi bora asifanye kabisa ndio tukaenda hakiki kwanza, sema ndio ivo mke wa mtu na mm nna mke pia, hapo ndio hatari iliyopo na kanielewa sanaa.Angalia ngoma kaka Samboko
So ulipo pima tu siku hiyo hiyo au muda huo huo ukamtomba?Tulikatana mida saa 6 mchana tukaenda cheki afya kwanza mkuu, maana alidai na ndomu haenjoi bora asifanye kabisa ndio tukaenda hakiki kwanza, sema ndio ivo mke wa mtu na mm nna mke pia, hapo ndio hatari iliyopo na kanielewa sanaa.
Na nilijisemeaga moyoni akiniita siendi ila nsharudi home nkabaki najiuliza tuu ilkuaje!
Wala sio mmama mkuu tunalingana age sema ana mwili zaidi yangu na pesa ipo sana na hapo ndio naonekana mdogo hahahaaa,
Juzi j2 nilitoka kumhenyesha mitaa ya mbali kdg kaniachia na gari aliyomnunulia mamaake kijijini huko (ila mmewe hajui kaa kanunua gari) kaniambia niitumie hadi apate dereva wa kumpelekea, mafuta tank yangu nimepaki kwa sasa, wanawake hawa hatari sana.
Mmh...ulikutana naee siku hiyo hiyo mkaenda kupima????? Hii chaiTulikatana mida saa 6 mchana tukaenda cheki afya kwanza mkuu, maana alidai na ndomu haenjoi bora asifanye kabisa ndio tukaenda hakiki kwanza, sema ndio ivo mke wa mtu na mm nna mke pia, hapo ndio hatari iliyopo na kanielewa sanaa.
Na nilijisemeaga moyoni akiniita siendi ila nsharudi home nkabaki najiuliza tuu ilkuaje!
Huyu jamaa ana atari sana tena haikufaa atangaze humu.Mmh...ulikutana naee siku hiyo hiyo mkaenda kupima????? Hii chai
Ni chaii hii mkuu...!! Yanii ukutane nae leo..upimee nae leo...ukamlee siku hiyo hiyo??? Huyoo mama ana nyegee kiasi ganii...Huyu jamaa ana atari sana tena haikufaa atangaze humu.
Huyo teacher alikuwa bonge la mshuaNiliwahi kugegeda chooni wakati niko boarding school nilikuja kushtuka ticha ananishika bega ,nikampa ela akaniacha.nategemea kumuoa huyo dada cku c nyingi
Ulishindwa ata kuchukua nambaUnanikumbusha nurse mmoja 2011 nilitaitiwa malaria natoka kazini nikapita Hosp wakanipima wakasema kwa malaria hii inabidi upigwe sindano ya quinine! Nikaingia chumba cha sindano nikamkuta mdada mmoja mzuri mzuri wakati ananichoma kalioni nikaona kama anachombeza sana na macho yakambadilika kabisa! Nikajisema hapa ningekuwa mzima sijui kama ningemuacha hivi hivi! Ila ndo hivyo ikatoka na sikuwahi tena kurudi hiyo hosp
Acha kabisa mkuu wanawake hatari sana, January hii nilikuwa natembea na mdada fulani hv umri 34 ananambia mume wake kampa talaka, anakuja kwangu tunaacha ki-baby walker changu naendesha gari lake zito kumbe mume wake yupo kwenye project vijijini huko miezi kama mitatu, mbaya zaidi pete anavua ila alama za pete naziona kidoleni nkimuuliza anasema kwa sababu kaivaa muda mrefu so alama zinafutika taratibu....siku nimechunguza whatsapp yake kidogo nizimie...niliona kifiro nje nje maana huyo mume wake na mawaziri wa nchi hii wanakaa meza moja wanakunywa kahawa....hilo gari lenyewe mume alimnunulia siku ya birthday yake....nilitembelea whatsapp yake vzuri....nliwaza sana siku ile.....Wala sio mmama mkuu tunalingana age sema ana mwili zaidi yangu na pesa ipo sana na hapo ndio naonekana mdogo hahahaaa,
Juzi j2 nilitoka kumhenyesha mitaa ya mbali kdg kaniachia na gari aliyomnunulia mamaake kijijini huko (ila mmewe hajui kaa kanunua gari) kaniambia niitumie hadi apate dereva wa kumpelekea, mafuta tank yangu nimepaki kwa sasa, wanawake hawa hatari sana.
Acha kumsingizia shetaniHahahaaaa, mkuu genye mbaya sana, kuna wakati nakumbuka matukio yangu na muonekano wangu naona kaa si mimi namsaidia shetani.
Acha tu mkuu!! Malaria zinapishana, hata wazo la kuomba namba sikuwa naloUlishindwa ata kuchukua namba
Kweli ilikuwa na malaria dume