Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

huu uzi mnaufufua kila mara mnanitia majaribuni kutaka kuandika yale ambayo hatutaki kuyaandika hapa roho nyingine inaniambia kausha
Kausha.
Masuala yale si ya kujisifia na Mungu hapendi
 
Mi nakumbuka mwaka 2005 nikiwa chuo flani hivi sasa kuna demu wa rafiki yangu walikuwa wamekorofishana akawa amekuja usiku wa saa 2 kumtafuta msela,
Jamaa akajifanya hana muda wa kusikiliza demu wake na akanambia nimsindikize mtaani kwao maana aliogopa kurudi peke yake!
Ile tumevuka eneo la chuo mtaa wa pili kuna kanisa flani hivi la kirokole nikamwambia demu tukae kidogo tupumzike
Baada ya kukaa kidogo huku kunipa story kuhusu ugomvi wake na mshkaji nikaanza kumpapasa akalegea nikamkokota mpaka ndani ya shimo la kubatizia ambalo hakukuwa na maji hivyo nikamkunja humo na kumtafuna kimyakimya!
Nilipiga viwili fresh kisha nkampeleka kwao.
Baadae jamaa alimwoa huyo demu na mpaka leo huwa Jamaa hajui kama nilimtafunaga Shem na mpaka sasa huwa nikienda Dar nafikiaga Kwa huyo rafiki yangu na akienda kazini napiga kimoja fasta!
Yaani kamwe usimwamini mwanamke.
Kwa sasa UNAFANYA VIBAYA.
Na unapoandika hapa wengine wanasoma ndo wahusika
 
Acha kabisa mkuu wanawake hatari sana, January hii nilikuwa natembea na mdada fulani hv umri 34 ananambia mume wake kampa talaka, anakuja kwangu tunaacha ki-baby walker changu naendesha gari lake zito kumbe mume wake yupo kwenye project vijijini huko miezi kama mitatu, mbaya zaidi pete anavua ila alama za pete naziona kidoleni nkimuuliza anasema kwa sababu kaivaa muda mrefu so alama zinafutika taratibu....siku nimechunguza whatsapp yake kidogo nizimie...niliona kifiro nje nje maana huyo mume wake na mawaziri wa nchi hii wanakaa meza moja wanakunywa kahawa....hilo gari lenyewe mume alimnunulia siku ya birthday yake....nilitembelea whatsapp yake vzuri....nliwaza sana siku ile.....

Ila nashukuru ni muelewa


Huyu nilikuwa namkula hata vyoo vya ofisini kwao, siku ingine tunapark gari nje ya bar kabla hatujaingia anakula mshale mmoja mzito....na mara ya mwisho tulikulana kwenye gari asubuhi saa 1 hv alikuwa anasafiri...nilipark tu nkapakua, naona gari zingine zinapita tu....

Mazingira hayo hatari sana[emoji33]
Ila jaman naona mnapotoa stori mnaweka wazi KIILA KITU,wenza wenu wanajua
 
Nimeshawahi kumla dem beach moja ya kawe opposite na cine club ile tumemaliza tu vibaka wakatuotea wametushikia silaha tukaibiwa simu na pesa..ilikuwa mwaka2012
Ilipaswa wawatie wote kwa pamoja live bila chenga
 
Back
Top Bottom