Acha kabisa mkuu wanawake hatari sana, January hii nilikuwa natembea na mdada fulani hv umri 34 ananambia mume wake kampa talaka, anakuja kwangu tunaacha ki-baby walker changu naendesha gari lake zito kumbe mume wake yupo kwenye project vijijini huko miezi kama mitatu, mbaya zaidi pete anavua ila alama za pete naziona kidoleni nkimuuliza anasema kwa sababu kaivaa muda mrefu so alama zinafutika taratibu....siku nimechunguza whatsapp yake kidogo nizimie...niliona kifiro nje nje maana huyo mume wake na mawaziri wa nchi hii wanakaa meza moja wanakunywa kahawa....hilo gari lenyewe mume alimnunulia siku ya birthday yake....nilitembelea whatsapp yake vzuri....nliwaza sana siku ile.....
Ila nashukuru ni muelewa
Huyu nilikuwa namkula hata vyoo vya ofisini kwao, siku ingine tunapark gari nje ya bar kabla hatujaingia anakula mshale mmoja mzito....na mara ya mwisho tulikulana kwenye gari asubuhi saa 1 hv alikuwa anasafiri...nilipark tu nkapakua, naona gari zingine zinapita tu....
Mazingira hayo hatari sana[emoji33]