Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

huu uzi mnaufufua kila mara mnanitia majaribuni kutaka kuandika yale ambayo hatutaki kuyaandika hapa roho nyingine inaniambia kausha
Kausha.
Masuala yale si ya kujisifia na Mungu hapendi
 
Kwa sasa UNAFANYA VIBAYA.
Na unapoandika hapa wengine wanasoma ndo wahusika
 
Ila jaman naona mnapotoa stori mnaweka wazi KIILA KITU,wenza wenu wanajua
 
Nimeshawahi kumla dem beach moja ya kawe opposite na cine club ile tumemaliza tu vibaka wakatuotea wametushikia silaha tukaibiwa simu na pesa..ilikuwa mwaka2012
Ilipaswa wawatie wote kwa pamoja live bila chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…