Haha binamu una mapenzi ya dhati umenikumbusha shule ya msingi tulivyokuwa tunashikiana namba yaani mtu anayekushikia namba unakuwa unamthamini kuliko hata yule anayekusaidia masomomimi no 22 wewe binamu no yako 21.
sawa?
Mna roho mbaya kishenzi
mleta uzi mwenyewe chini hapo kasema "uzi tayari"Hao ni kama bata...wanafuata alietangulia....akihara na wanaofuata wanahara!
Kwani uzi unahusu nini maanake mimi nimejibu tumleta uzi mwenyewe chini hapo kasema "uzi tayari"
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kuonyesha kuwa hata yeye ana mashaka na uzi wakemleta uzi mwenyewe chini hapo kasema "uzi tayari"
19
Sent using boeing 737 max8
Asa ka Uzi unawakera si waupotezee tu..hakuna alielazimishwa kukomentiMna roho mbaya kishenzi
MamboHao ni kama bata...wanafuata alietangulia....akihara na wanaofuata wanahara!