Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoo😏
Nakumbuka bar maid flan mkaliii alikunywa bia zangu kibao lakini akawa anazingua kutoa mzigo, kama mwezi kila nkienda ile bar naitwa shem na wenzake japo mzigo sijala. Nkawa na hasira sana nae kinomq, nkakata mguu kama wiki2 siend ile bar, day1 napigiwa simu namba ngen kumbe yeye akadai kama vp niende pale job kwake ntaondoka nae baada ya saa za kazi
Nilitimba akaninunulia Kvant kubwa nikapiga had akaja geto moto alioupata ananikumbukaga hadi leo japo alishama dar karudi kwao Arusha. Hata mm sifahamu nguvu nlizitoa wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Hao ni kama bata...wanafuata alietangulia....akihara na wanaofuata wanahara!
Na hii mvua najilaumu sana kwanini mwaka 2010 niliachaga tungijf raha sana [emoji28][emoji28]
na hii weekend hapa.
Poa, vipi wewe?😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Niaje mwana????