Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Acha tu mkuu...Kwani wewe hujawahi piga miti jkt?
Naachaje sasa [emoji1787][emoji41]

Sisi eneo la kufoleni kombania ilikua kwenye ma-anga ya ngorongoro, ma-anga ya serengeti yalikua mbali kidogo.

Unakuta usiku mmeachwa tu, mnasubiri kuhesabiwa saa nane usiku mkalale. Serengeti walikua wanaingia ma-angani kwetu fresh tu, unavuta wako mnamalizana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo karanga zao mbichi walizokua wanatupa ndo zilileta fujo
 
Yan huu uzi.......

1.. hakuna aliekula dem mbovu
2..hakuna aliepata ngoma au mangonjwa ya zinaa
3..kila dem alieliwa ana tako la haja
4..wengi hawatumii ndom

Aiseeh
[emoji38][emoji38] Kuna tofaut kimtazamo. Mimi naweza ona demu kisu kumbe kawaida Sana kwako. Ana tako kubwa kwako kumbe kwa mwenzio kawaida tu.

Jamaa aliniambia Nina kisu mtoto kajaza, kuja kumuona nilicheka hadi nikapaliwa. So ipo hivyo Cha maana ni tendo lilipofanyika ndo HOJA.
 
Mkuu umesoma Tech mwaka gani? Nilisoma hapo pia! Nina Imani Mpande ulimkuta
 
Na me nimejua tu hapa ni 841 KJ Kwa Mkisi enzi hizo
 
Aiseee hata mm nilipita hapo na Mpande alikiwepo mpaka nilimuacha maana wa kitambo sanaaa yule mzee japo saiv nlisikia alivuta. Hayo mapagale anayohadodhia mtoa post ni yawapi mbona sikumbuki pagale llte mule?
labda pale pembeni ya dorm 20 Lumumba may be!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yan huu uzi.......

1.. hakuna aliekula dem mbovu
2..hakuna aliepata ngoma au mangonjwa ya zinaa
3..kila dem alieliwa ana tako la haja
4..wengi hawatumii ndom

Aiseeh
We ni fala kama mafala wengine, uliyekosa cha kufanya na kuja kuharibu uzi huu. Wapo watu wameandika wamepiga pisi haina mvuto, hadi mmoja kala chizi. Wapo ambao wamesema walipiga show mbovu kisa papara, wapo ambao wamekula wasiyo na mvuto wa mwili.

Ila umeamua kuja kujichokonolesha tu, ilimradi uonekane na wewe umecomment. Huu uzi tunaufuatilia toka mwanzo haujaunganishwa na mwingine, hebu punguza ukolombwee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…