Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Me nakumbuka ilikuwa ni sikukuu ya eid, mtoto mmoja nilikuwa nimemfukuzia kitambo siku hiyo akaniambia poa, baada ya mapilau ya mchana yeye akatoka na rafiki zake wakaenda catalunya pale m/city me nikasogea pale calabash pub counter nagonga mdogo mdogo huku namsubiri alivyomaliza kule huyo akaja pale ila akaja na mwenzake mmoja wamelewa balaa nikawapa bia moja moja ila yule mwenzake akawa hajiwezi akatapika ikabidi mzee mzima niwapakie ndani ya gari tumrudishe yule mwenzake alikuwa anakaa mitaa ya posta kule town kabisa baada ya kumfikisha sasa wakati tunarudi vurugu zikaanza mara mtoto achezee dushe mara akalitoa kabisa toka kwa suruali na kuanza kunyonya nusura niingize gari mtaroni pale knyama karibu na kituo cha polisi, baada ya hali kuwa mbaya ikabidi nikamwambia tutafute lodge tukalale akagoma akasema hawezi kulala nje maana alikuwa anakaa kwao, akasema ww twende tu ntakuonyesha mahali pa kupark. Basi sikuwa na hiyana nikaendesha gari karibu na kwao kulikuwa kama na miti miti fulani hivi michongoma tukasimama hapo tukalaza seat ya abiria nikamtandika kimoja cha fasta hiyo mida ni kama ya saa saba usiku. Wakati tunatafuta la pili kuna jamaa akawa kama anakuja uelekeo wa gari alivyotuona akapitiliza baada ya game nikawanamsogeza kwako njiani tukakutana na kundi la vijana ambao walikuwa wanakuja uelekeo tuliotokea sisi ni kama vibaka fulani hivi nikawaza sijui wangetukuta ingekuwaje ningeweza kuporwa hata gari.. huwa nikikumbuka nachoka kabisa, dem kaolewa siku hizi ana watoto sijui wawili
 
Habari zenu wana jukwaa? Ni sehemu gani hatarishi uliwahi kufanya ngono? Mi ni hospital nilimgegeda nurse ninayefahamiana nae


Mie kwenye handaki. Nikiwa Ruvuma, tulipanga na msichana mmoja tukagegedane kwenye handaki ambalo linasadikika lilikuwa na nyoka hatari ila hatukuwa na hiyo taarifa. Baada ya mwei hivi wakakutwa mtu na mwanamke wamefariki katika mazingira ya kutatanisha, jamaa alikuwa uchi na mwanamke alikuwa na chupi tu huku kashika gauni na gagulo. Waliojuwa walisema waligongwa na yule nyoka, baada ya zile taarifa kunifikia nikapiga magoti na kushukuru kuwa hai.
 
Nakumbuka enzi 2002 maisha ya udsm, tukipata boom.
Sintosahau siku hiyo billz Mimi na mshakaji tukachukua muuzaji k, demu akatupeleka mitaa ya nyuma kulikuwa na Isuzu tipper la mchanga tukamtoa mlinzi 500, akaturuhusu tumalizane ndani ya tipper.
Katika kumshughulikia yule Malaya si bahati mbaya akatengua handbrake ya tipper, likaanza kutembea kwanini lilikuwa kwenye Ka mlima, we Acha, nilirukaje ,jamaa naye akaruka na demu naye akaruka.Tukala zetu Kona tukarudi zetu ndani billz.
Tukamuacha mlinzi anahangaika kulisimamisha tipper lake na kigogo, huku anatutukana kishenzi.
Na siku nyingine nakumbuka jolly club enzi hizo nilikamatia Ka Malaya cha kichina nikaenda kukabandua pale nje jolly kwenye kibanda cha mlinzi mara pap Askari wa Doria wakaibuka wanachungulia dirishani, dirishani lenyewe ni uwazi Tu,, nilivyowaporonyoka Du manake kuna Askari alikuwa anakuja kwenye mlango nilirukaje pale dirishani nikamkumba Askari aliyekuwa anachungulia tukaanguka wote kuja kusimama nilitoka nduki Askari wakabaki wanacheka, wakamdaka mchina sijui waliongea naye nini.
Dah nikukumbuka enzi hizo yaani udsm ilikuwa full usela nondo plus kupiga kitabu
 
Back
Top Bottom