Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Nakumbuka bar maid flan mkaliii alikunywa bia zangu kibao lakini akawa anazingua kutoa mzigo, kama mwezi kila nkienda ile bar naitwa shem na wenzake japo mzigo sijala. Nkawa na hasira sana nae kinomq, nkakata mguu kama wiki2 siend ile bar, day1 napigiwa simu namba ngen kumbe yeye akadai kama vp niende pale job kwake ntaondoka nae baada ya saa za kazi

Nilitimba akaninunulia Kvant kubwa nikapiga had akaja geto moto alioupata ananikumbukaga hadi leo japo alishama dar karudi kwao Arusha. Hata mm sifahamu nguvu nlizitoa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Zilikua za K vant hizo mkuu[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliojibiwa hivyo wote wamepotezea ila wewe ndio kimekukereketa hadi makalioni! Ukichukulia maisha serious utakufa kabla ya siku zako. Wewe ni nani uniambie nikae kimya? Eff off!

We nae dume zime na manyoya mpaka mqunduni lakin unamihemko ya kike.
 
Mimi

Kwakuwa nimekulia kijijini sitosahau siku moja

Niliingia na demu wangu kichaka kimoja hivi mbaaali na Kijiji. Nakumbuka ilikuwa usiku wa saa mbili hivi. Ulikuwa usiku ambao mbalamwezi ilikuwa inawaka kwa kufifia hivi.

Baada ya kufika eneo la tukio binti alitandika kanga chini na kuanza kubonyezana bonyezana maeneo muhimu, , , Mara mzee baba nikaanza kudumbukiza ile Mambo..

Baada ya dakika chache,, nikasikia Kama kitu kimenidondokea mgongoni, kwakuwa utamu ulikolea nilihisi Kama kijiti flani the laini laini. Ila songi lilikatika baada ya kugundua kumbe aliyedondoka alikua ni NYOKA. duuuuuuh hiyo purukushani ilikuwa Ni zaidi ya muvi aisee.

Tulikimbia Kwanza na kuacha Kila kitu pale.

Jamani "kasumba hizi duh"

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada yakukimbia ulirudi au vipi?
 
Eneo baya zaidi ni kufanya mapenzi na mke wa mtu nyumbani kwake tena chumba cha mumewe.
 
Back
Top Bottom