Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
- Thread starter
- #21
Bado wili 2 , tuone anasemaje.
Lakini hili sio issue.. akizogeza mbele ajue muda anao sogeza tunakata kwenye ile.mitano inayo kuja.
Lakini hili sio issue.. akizogeza mbele ajue muda anao sogeza tunakata kwenye ile.mitano inayo kuja.
Mimi ninachohisi inawezekana tunaandaliwa kisaikolojia uchaguzi usiwepo huu mwaka au kama utakuepo kampeni zikazuiiliwa kwa kigezo cha korona....huu mwaka mgumu kwa wapinzani kutokana na ubabe unaondelea.
Sent using Jamii Forums mobile app