Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka nimeanza soma mabandiko na comment za jf, sijawahi ona uozo kama mandiko yako. Jitahidi kuilinda heshima kidogo uliyobaki nayo huenda akili zitakurudiaHiyo mikutano ni ya wapigaji tu sioni mkakati wowote hapo
MUNGU atusandie tu mana hapa kama ni lori limeshindwa kupenda mlima sasa dereva anatamani kuruka nje ndi nchihii inavyo pelekwa kwa sasa ngoja tuone mwisho wa hii snema inayo endelea[emoji23]
Tambua kwamba kuna presidential security service hao ndo wana majukumu ya kujua raisi akae wapi na kwa usalama na sio kusema chato si sehemu salama.
Utapandaje Gari la wenye akiri ili Hali wewe ni mjinga? Na ushuke haraka,Konda anishushe kituo kinachofuata.
Hili jamaa silipendi hata kidogo , nalo Ni li great thinker eti ?Hiyo mikutano ni ya wapigaji tu sioni mkakati wowote hapo
Na wewe pia unayo kazi, kufuatilia comments zake zote, umejipea kazi ngumu kweli mkuuToka nimeanza soma mabandiko na comment za jf, sijawahi ona uozo kama mandiko yako. Jitahidi kuilinda heshima kidogo uliyobaki nayo huenda akili zitakurudia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo umpende, na huyu pia! Utapenda wangapi?😂Hili jamaa silipendi hata kidogo , nalo Ni li great thinker eti ?
who told you?? in vyema ukaulizaKwa akili zako unadhani wao ndio wameamua akakae chato.
Kwa taarifa yako, ikulu ya dodoma ndio salama zaidi east africa.
Hili jamaa silipendi hata kidogo , nalo Ni li great thinker eti ?
Kondakta wengi huwa hamuogi wala kubadilisha nguo, elekeza mdomo wako nje usinitapishe.Utapandaje Gari la wenye akiri ili Hali wewe ni mjinga? Na ushuke haraka,
Sauti ya konda
Kondakta wengi huwa hamuogi wala kubadilisha nguo, elekeza mdomo wako nje usinitapishe.
[/QUOTE
Labda Dodoma ila pale feri siyo salama kwa ugonjwa unaohisiwa kuenezwa kwa njia ya hewa. Hivyo tahadhari ya kukaa kijijini mbali na mikusanyiko ilikuwa sahihi.Msoga sio ikulu.
Kule Tanga kwa mzee mkapa sio ikulu
Musoma kwa baba wa taifa sio ikulu
Chato pia sio ikulu.
Mazingira ya ikulu ni ya kipekee sana , kunaninvestiment nyingi sana zimefanyika na kila facility ipo vizuri.
Wengi tumeona mazingira ambayo waziri wa sheria aliapishwa ( sijui kama katiba inaruhusu mtu kuapishwa nyumbani kwa mtu)
Huku kuku wana piga kelele, mara sijui dirisha halija kaa vizuri,
Ninacho taka kusema labda awe fisadi ndio atakua na makazi yanayo lingana na ikulu.
Sasa unapo kua na mkutano kama wa sadc au EAC background nayo inazungumza kwenye mkutano.
Ingekua aibu sana kwa Tanzania kwa mazingira yale ya mzee kuonekana nje ya nchi. Ana nyumba nzuri sijui pesa kapata wapi lakini hazija jengwa kitalaam au kisasa, zimejengwa kwa nguvu ya hela.
Kwa hiyo hili swala la mkuu kukaa kijijijini kwake linaleta shida sana.. na linaweza chukua muda mrefu sana kwa sababu maambukizi yakienea utashangaa kakpeni za uchaguzi anapigia akiwa chato.
Ni vizuri Rais arudi Ikulu
1. Ni salama zaidi
2. Facility za kutosha
3. Usalama wake utakua poa zaidi
4. Coordination ni rahisi zaidi
5. Gharama kwa sababu watukishi wote alio enda nao wanalipwa as if wapo kwenye ziara .
Imagine chato ingeonekanaje hapa. Afadhali alikacha mkutano watanzania tusiabike.View attachment 1448710View attachment 1448712
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣 haya usioge chapa kazi.Konda Hana muda wa kuoga anamuda wa kazi sio Ujinga Ujinga
Hao.mabeberu mnaowasingizia matizo yenu mbona bado.mnawaomba mikopo?Hayati Baba wa Taifa aliwahi kusema, mtu huwezi kushauriwa na mkeo usiku halafu asubuhi uje Ikulu utoe maamuzi.
Kagame kashauriwa na mkewe unataka tukiite nacho kikao?
Hukumbuki Coalition of the Willing waliyoanzisha enzi za awamu ya 4? Ilisambaratika.
Watuache wabobezi wa Diplomasia bila Secretariat hakuna kikao! Ni kutimiza azma za mabeberu. Walivyoji lockdown waliitisha kikao?