Mazingira ya Chato yanaathiri vipi utendaji kazi wa Mkuu?

Mazingira ya Chato yanaathiri vipi utendaji kazi wa Mkuu?

Tambua kwamba kuna presidential security service hao ndo wana majukumu ya kujua raisi akae wapi na kwa usalama na sio kusema chato si sehemu salama.
 
Kwa akili zako unadhani wao ndio wameamua akakae chato.

Kwa taarifa yako, ikulu ya dodoma ndio salama zaidi east africa.
Tambua kwamba kuna presidential security service hao ndo wana majukumu ya kujua raisi akae wapi na kwa usalama na sio kusema chato si sehemu salama.
 
Chapeni kazi, mimi nimejikarantini huku Chato na wale wabunge wa CHADEMA waliokacha bunge kwa kujikarantini nimemuagiza Ndugai warudishe posho zote walizochukua, mkifa wakati mnachapa kazi mtazikwa kama mashujaa wa nchi hii.
 
Msoga sio ikulu.
Kule Tanga kwa mzee mkapa sio ikulu
Musoma kwa baba wa taifa sio ikulu
Chato pia sio ikulu.

Mazingira ya ikulu ni ya kipekee sana , kunaninvestiment nyingi sana zimefanyika na kila facility ipo vizuri.

Wengi tumeona mazingira ambayo waziri wa sheria aliapishwa ( sijui kama katiba inaruhusu mtu kuapishwa nyumbani kwa mtu)

Huku kuku wana piga kelele, mara sijui dirisha halija kaa vizuri,

Ninacho taka kusema labda awe fisadi ndio atakua na makazi yanayo lingana na ikulu.

Sasa unapo kua na mkutano kama wa sadc au EAC background nayo inazungumza kwenye mkutano.

Ingekua aibu sana kwa Tanzania kwa mazingira yale ya mzee kuonekana nje ya nchi. Ana nyumba nzuri sijui pesa kapata wapi lakini hazija jengwa kitalaam au kisasa, zimejengwa kwa nguvu ya hela.

Kwa hiyo hili swala la mkuu kukaa kijijijini kwake linaleta shida sana.. na linaweza chukua muda mrefu sana kwa sababu maambukizi yakienea utashangaa kakpeni za uchaguzi anapigia akiwa chato.

Ni vizuri Rais arudi Ikulu
1. Ni salama zaidi
2. Facility za kutosha
3. Usalama wake utakua poa zaidi
4. Coordination ni rahisi zaidi
5. Gharama kwa sababu watukishi wote alio enda nao wanalipwa as if wapo kwenye ziara .


Imagine chato ingeonekanaje hapa. Afadhali alikacha mkutano watanzania tusiabike.View attachment 1448710View attachment 1448712

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Dodoma ila pale feri siyo salama kwa ugonjwa unaohisiwa kuenezwa kwa njia ya hewa. Hivyo tahadhari ya kukaa kijijini mbali na mikusanyiko ilikuwa sahihi.
 
Huko chato akiigua ghafla itakuaje?
Labda Dodoma ila pale feri siyo salama kwa ugonjwa unaohisiwa kuenezwa kwa njia ya hewa. Hivyo tahadhari ya kukaa kijijini mbali na mikusanyiko ilikuwa sahihi.
 
Hayati Baba wa Taifa aliwahi kusema, mtu huwezi kushauriwa na mkeo usiku halafu asubuhi uje Ikulu utoe maamuzi.
Kagame kashauriwa na mkewe unataka tukiite nacho kikao?
Hukumbuki Coalition of the Willing waliyoanzisha enzi za awamu ya 4? Ilisambaratika.
Watuache wabobezi wa Diplomasia bila Secretariat hakuna kikao! Ni kutimiza azma za mabeberu. Walivyoji lockdown waliitisha kikao?
Hao.mabeberu mnaowasingizia matizo yenu mbona bado.mnawaomba mikopo?
Na wengine wapo.nchini wakija na pesa basi mnawaita wawekezaji.
Kama vip kataeni kila.kitu cha hao mnawaita mabeberu.

Pili kagame ana timu ya ushauri nzuri tu. Tena uzuri mmoja wote ni former military na intelligence. Wana faham nn wanafanya kwa rwanda.
Hizo.siasa za majitaka eti anashauriwa na mke wake una uhakika huo?
Mbona serikal imeteua team maalum ya ushauri wa rais.. unadhani ni wajinga.


Maybe awam.tulizopita haswa ya jk.tulikuwa wataalam wa diplomasia.
But awam hii hiko kitu hatuna. Alikuwa nao tu marehem mhe.mahiga. wengine waliobaki hawana hata exposure ya nje. Sion mtu akifit ile nafas..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom