JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,197
Alishajibu, si kuugua tu hata mauti, chato ndo atazikwa.Huko chato akiigua ghafla itakuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishajibu, si kuugua tu hata mauti, chato ndo atazikwa.Huko chato akiigua ghafla itakuaje?
Naona hoja ya membe imekupumbaza kama ilivyowapumbaza wengi. Wengi wameshau kuwakipindi akiwa Mambo ya Nje, nchi yetu ilikuwa na migogoro karibia na kila jirani tuliyepakana naye. Ila kipindi hiki ambacho yeye anadai diplomasia imeshuka tuko na amani na kila jirani yetu. Hicho kipimo cha kushuka kwa diplomasia anachotumia ni kipi?Maybe awam.tulizopita haswa ya jk.tulikuwa wataalam wa diplomasia.
But awam hii hiko kitu hatuna. Alikuwa nao tu marehem mhe.mahiga. wengine waliobaki hawana hata exposure ya nje. Sion mtu akifit ile nafas..
Sent using Jamii Forums mobile app
From Dar,Dodoma,Chato to Burigi ameshauria na nani?Hayati Baba wa Taifa aliwahi kusema, mtu huwezi kushauriwa na mkeo usiku halafu asubuhi uje Ikulu utoe maamuzi.
Kagame kashauriwa na mkewe unataka tukiite nacho kikao?
Hukumbuki Coalition of the Willing waliyoanzisha enzi za awamu ya 4? Ilisambaratika.
Watuache wabobezi wa Diplomasia bila Secretariat hakuna kikao! Ni kutimiza azma za mabeberu. Walivyoji lockdown waliitisha kikao?
Mimi ukinishauri ndipo unaharibu kabisa hiiiiiiiiii yaani hata form ya urais nilienda kuchukua mwenyewe bila kushauriwa na mtu.
Who the fuk is membe? Anahusikaje hapa?Naona hoja ya membe imekupumbaza kama ilivyowapumbaza wengi. Wengi wameshau kuwakipindi akiwa Mambo ya Nje, nchi yetu ilikuwa na migogoro karibia na kila jirani tuliyepakana naye. Ila kipindi hiki ambacho yeye anadai diplomasia imeshuka tuko na amani na kila jirani yetu. Hicho kipimo cha kushuka kwa diplomasia anachotumia ni kipi?
Cheki hii mbuzii yaani wewe akili huna.....Hiyo mikutano ni ya wapigaji tu sioni mkakati wowote hapo
Rais tulienae atatuvusha inatakiwa awe Rais wa maisha[emoji16]
Bado wili 2 , tuone anasemaje.
Lakini hili sio issue.. akizogeza mbele ajue muda anao sogeza tunakata kwenye ile.mitano inayo kuja.