denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Sasa kwanini yule mkuu wa wilaya Mtwara walimzika kwa namna ile?
Nani aliyetoa yale maelekezo?
Mbona nae kwa cheo chake alistahili heshima kama siku hizi kuzika mwili wa mtu tunaangalia "status" yake kwenye jamii kwanza, that was not fair.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliyetoa yale maelekezo?
Mbona nae kwa cheo chake alistahili heshima kama siku hizi kuzika mwili wa mtu tunaangalia "status" yake kwenye jamii kwanza, that was not fair.
Sent using Jamii Forums mobile app