Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,610
Yupi muhimu kati ya mumewe ambaye ni mwili au mwanae ambaye ni mwili hai?Mmmmh kweli huyu mama kashindwa kuja kumzika mme wake ,ni kabila gani huyu mama
Acheni lawama nyie watanzania weusi. Angekuwepo mngesema anakomaa kuzika mumewe ile hali mtoto yupo mwenyewe Nairobi.
Na suala la kabila na msiba lina uhusiano gani unataka uoe mtoto wake au uolewe na kijana wake.