Mazishi ya Dkt. Augustine Philip Mahiga kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa. Mkewe ashindwa kuhudhuria baada ya kuwa Kenya akiuguza mtoto

Kweli mbona ni maumivu makubwa? Jamani dah
 
Hata wanae aliowazaa na yule mbunge aliyekuwa naibu waziri fedha sijawaona. R.I.P Baba. Hivyo Dodoma alikuwa peke yake. Maisha haya bwana waziri kabisa anakufa akiwa mpweke Dodoma. Too sad.
Hayo ndiyo matunda ya kufedhehesha mke wa ujana wako I.e wa ndoa aliyekufikisha ulipo. Unafunua vyupi weee sasa uzee ukiingia huna pa kukamata. Imagine alizaa na yule mama machachari mbunge wa huko mbeya ambaye alishakuwa waziri. Watoto wakubwa sasa na binti mnayemuona alifunga ndia ndiye wa huyo mama Mh. J mtata. Wanawe wote wawili wako Marekani na Lockdown hawataweza kufika i.e binti na kaka yake. Wanaume tujifunze kupitia huu msiba. Yawezekana hata hiyo uguza mtoto Kenya ni fix tu maana huyo mke wa ndoa hana mtoto mdogo. Labda kama huyo mtoto hajaoa au kuolewa maana ni watu wazima. Kuna namna kubwa hapo. Wazee wa vicheche tujitafakari upya.
 
Hata wanae aliowazaa na yule mbunge aliyekuwa naibu waziri fedha sijawaona. R.I.P Baba. Hivyo Dodoma alikuwa peke yake. Maisha haya bwana waziri kabisa anakufa akiwa mpweke Dodoma. Too sad.
Hawa wazazi wetu nilichogundua wanapofikia age kubwa huwa na tabia za ukali/ukorofi/kutosikia,nk

lakini hii ni nature ya binadamu wote kama inavyokua mtoto akiwa mdogo kuwa mtundu/mkorofi/kutosikia nk

sasa inapofikia age hiyo watu wanaokuzunguka wasipoweza elewa kuwa "si wewe" ila ni umri ndio sababu

hupelekea watu kuku kimbia nakukuacha mpweke, na saa zingine mtu anagombana na watu wengi sana

katika umri huu,na kwa jinsi nimjuavyo BABA "mahiga" ana asili ya ukali ukali/ukoloni flani ukiplus na age yake

asee kukaa nae karibu kwa siku 1 tu lazima uione nyumba imepakwa pili pili,Walichomfanyia si vyema

japo siwezi jua sababu ila naamini hamna lisilo na sababu,Yote kwa Yote apumzike kwa amani our Dad.
 
Wabongo uwajui, wanatoa taarifa utafikiri wanamjua zaidi.
 
Sasa ww maskini umefanya nini kwa nani?? Ila yeye huyo alikuwa anawatumikia maskini haohao kwa makundi yao...

Mbona amezikwa kawaida sana na kiserikali kwa hadhi yake alokuwa nayo.

Ulitaka iweje?
 
Wamarekani wanasema "Deep Sixed"
 
Nakubaliana nawewe kwa uzito was ile familia gvt ingemkodia ndege hata familia isingeshindwa kukodi ndege kea pesa binafsi kitendo Cha kutokuja mke kimezua maswali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…