Mazishi ya mtu hai kishirikina

Mazishi ya mtu hai kishirikina

K

Kumbe siku ya 40 ndio kichwa kinakatika! Sikuwa nafahamu hili ahsante kwa kunijuza jambo jipya.

Je kama ulishazikwa ufanyeje ili ufufuke? Au ndio basi tena imetoka hiyo?
Simama na Mungu huku chumvi ikikupa msaada..USIENDE KWINGINE KOKOTE
 
NAHI

Wengi wetu wamefanyiwa mazishi wangali hai. Wapo hai lakini kiroho wamezikwa na wanateseka sana. Unapozikwa hai kishirikina unapoozwa na kufifishwa nyota yako. Unapozikwa hai kishikirina kinga zako za kiroho zinapungua nguvu hivyo hakuna rangi utaacha kuona.

Vitu vyenye vinasaba nawe ni muhimu sana kuvitunza na kuvilinda.. Vitu kama nguo hasa za ndani, kuchwa zako, nywele zako zozote, damu yako, picha yako nk. Imethibitika hata kwenye sayansi ya macho kuwa chochote unachogusa unaacha alama yako hapo, alama za vidole ama kinasaba chochote.. Watu waliosoma forensic wanalijua hili vema.

Hivyo basi hata kwenye ushirikina huwa wanatumia kitu chenye kinasaba nawe kukutengeneza. Sasa basi katika vyote hivyo picha ndio huwa rahisi kupatikana kwakuwa ni ngumu kumtaimu mtu mpaka umkate kucha yake au umnyoe nywele zake, ama umtaimu
NAHISI KUTETEMEKA
 
Lakini Bro. Jr. unawezaje kujua kama umezikwa unngali bado upo hai?
Maiti ni mwili mfu, huwezi kuona maiti inaongea, inatembea na kufanya chochote, huwezi kuona maiti iko tu mitaani inashangaa .. Maiti sehemu yake ni shimoni panapoitwa kaburi ... Ukizikwa ungali hai maana yake umefunikwa mambo yako yote
 
Maiti ni mwili mfu, huwezi kuona maiti inaongea, inatembea na kufanya chochote, huwezi kuona maiti iko tu mitaani inashangaa .. Maiti sehemu yake ni shimoni panapoitwa kaburi ... Ukizikwa ungali hai maana yake umefunikwa mambo yako yote
Inatisha sasa...SIMULIZI ZA MUSSA BANZI "KIHONGWE"
 
Binadamu hawana jema, wengi wanaoishi vyema na watu ndo yanawakuta haya mkuu, utasikia fulani anajifanya mwema sana ngoja tumkomeshe, ushauri wako naona kama hausaidii kitu.
Kabsaa kabsaa watu wema ndiyo wanaoliwa kichwa mchana kweupe. Tangu lini mchawi akampenda mtu mwema?
 
Maiti ni mwili mfu, huwezi kuona maiti inaongea, inatembea na kufanya chochote, huwezi kuona maiti iko tu mitaani inashangaa .. Maiti sehemu yake ni shimoni panapoitwa kaburi ... Ukizikwa ungali hai maana yake umefunikwa mambo yako yote

Mbona kwenye simulizi zako about mortuary ulipokua attendant wa huko unasemaga kwamba maiti zna mambo mengiii... kwamba zina display some gestures/character ambazo zina reflect tabia zao when they were alive. E.g makahaba, wauaji, majambazi😁😂😅
 
Mbona kwenye simulizi zako about mortuary ulipokua attendant wa huko unasemaga kwamba maiti zna mambo mengiii... kwamba zina display some gestures/character ambazo zina reflect tabia zao when they were alive. E.g makahaba, wauaji, majambazi[emoji16][emoji23][emoji28]
Yeah huko ni mochwari kabla ya kufika kaburini
 
Ha ha ha... noma sana! Nilisahau kidogo keyword "KUZIKWA" nikajua ni maiti general hasa ile ambayo haijapelekwa 6ft underground... ivi zinafanyaga bodily kinesthetic sana uko morgue eeh?
[emoji3][emoji3]ivi zinafanyaga bodily kinesthetic sana uko morgue eeh?[emoji2][emoji2][emoji2]sio zote
 
sana sana ni wale marehemu waliokufa vifo vya ghafla hasa ajali na ugomvi... Walikuwa hawako tayari kufa
HAPA UNANIKUMBUSHA RAFIKI YANGU KIPENZI ALIJITOA SANA KWANGU, KUNA WAKATI ALISEMA TUNGEFAHAMINA MAPEMA UNGEKUWA MBALI SANA. Kuna wakati alikuwa anasema unajua Coulibally nakusaidia kwa sababu najua ipo siku utakuwa bosi sehemu fulani, kauli hii ilikuwa wiki moja kabla ya kifo chake.. Alifariki tarehe 1 January mwaka 2020. NIlilia mpaka macho kuvimba, wengine walizimia. Alifariki akiwa na miaka 32 tu. AMA KWA HAKIKA BINADAMU SIO WEMA, WACHAWI WANAISHI... DESEMBA 2019 ALIGONGWA PAKA WAKE NA PIKIPIKI MBELE YA DUKA LAKE, MZEE MMOJA ALIMWAMBIA WEWE HAUTAIONA 2020 AKADHARAU IKAWA KWELI. TAREHE 1 JANUARY 2020 AKAHAMISHIWA MOCHWARI. ALIKUFA AKIWA NA AHADI YAKE YA KUNIKUTANISHA NA TAJIRI MMOJA JIJINI MWANZA...WIKI MOJA BAADAYE ALINITAJIA JINA LA MTU WA KARIBU KATIKA NDOTO AMBAYE ALIKUWA RAFIKI YAKE WAMESHIBANA SANA, Alisema "Nimekuachia .............." Nilishtuka sana. Nilipoanza kumfuatili huyu fulani nilikutana na nzito nzito, anatisha.
 
Back
Top Bottom