Mazishi ya mtu hai kishirikina

Mimi naona hafanikiwi hatoboi Maisha na miaka mingi Sana kaja dsm 2008-2022 but he still live Maisha ya kuunga unga unga Sana nahis kazikwa kichawi na watu wabaya Mkuu
Ajaribu kutumia tiba ya chumvi kwanza nonstop kwa siku 30 ..
 
Eti nimeambiwa huko kwenu waganga wa kienyeji wanaaminika zaidi kuliko watumishi wa Mungu, na masharti ya waganga yanazingatiwa sana kuliko neno la Mungu, je kuna ukweli wowote katika hilo au mnasingiziwa mambo ya kweli?
 
Umeelewa kweli kilichoandikwa au umekija na makasiriko yako kupuyanga uku.Wewe unaona kuna ubaya gani kuambiwa uwe binadamu mwema.au wewe ndo aina ya watu wanaozungumziwa hapa.pumbavu mkubwa wewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Umeelewa kweli kilichoandikwa au umekija na makasiriko yako kupuyanga uku.Wewe unaona kuna ubaya gani kuambiwa uwe binadamu mwema.au wewe ndo aina ya watu wanaozungumziwa hapa.pumbavu mkubwa wewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Msamehe bure hajui aliandikalo
 
Hatari saana mama weeee....heri niwe mwema tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…