Mazishi ya mtu hai kishirikina

Mazishi ya mtu hai kishirikina

Mku Mshana ni namna gani watu watajinasua ktk haya.
Mimi niliwahi kutuma picha home nikiwa nje ya Nchi na zile ziliombwa na ndugu wa ukoo na zile picha hazikurudi wa hazijawahi kunekana.
Na baada ya kurudi hapa nyumbani Tanzania na sikurudi kwa kutaka mimi ila nilipata shida kubwa.
Kwa ujumla nimekutana mengi sana Mtani ambayo ni magumu sana
Walikutengeneza pole sanaa
 
Mshana JR, nafikiri siku tukipata muda tuanze na somo la kwanza la kuchukua nafsi ya mtu kwa kutumia kivuli chake!!
Pitia hii kwanza


Vivuli vitatu
 
Mku Mshana ni namna gani watu watajinasua ktk haya.
Mimi niliwahi kutuma picha home nikiwa nje ya Nchi na zile ziliombwa na ndugu wa ukoo na zile picha hazikurudi wa hazijawahi kunekana.
Na baada ya kurudi hapa nyumbani Tanzania na sikurudi kwa kutaka mimi ila nilipata shida kubwa.
Kwa ujumla nimekutana mengi sana Mtani ambayo ni magumu sana

Pole sana kaka
 
Back
Top Bottom