Mazishi ya Prof. Sarungi: Serikali ililazimisha azikwe Dar ili kumkamata Maria Sarungi

Mazishi ya Prof. Sarungi: Serikali ililazimisha azikwe Dar ili kumkamata Maria Sarungi

Musachawenyu

Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
84
Reaction score
109
Hii ndio sababu kubwa ya Prof. Sarungi kuzikwa Kinondoni.

Kwa ubavu serikali iliingilia kati na kuteka msiba na kulazimisha Marehemu Sarungi kuzikwa Dar.

Kwa muda mrefu Serikali ya Samia inamtafuta Maria Sarungi kwa udi na uvumba.

Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi kumtia nguvuni Maria akija msibani kuliko kufanya hivyo kama akizikwa Rorya maana wanaume wa Tarime na Rorya wana uwezo wa kumlinda dhidi ya Polisi wanaopokea maelekezo ya CCM.

Na kwa kuwa Maria alipewa taarifa na wasamaria wema akaamua kutokuja.

Hii ni ajabu na aibu kulazimisha maziko ya Prof. Sarungi Dar kwa ajili ya kumkamata binti yake.

Huyu Mama atahangaika ila hakika mwaka huu hatoboi. Amelaaniwa
 
Hii ndio sababu kubwa ya Prof. Sarungi kuzikwa Kinondoni.

Kwa ubavu serikali iliingilia kati na kuteka msiba na kulazimisha Marehemu Sarungi kuzikwa Dar.

Kwa muda mrefu Serikali ya Samia inamtafuta Maria Sarungi kwa udi na uvumba.

Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi kumtia nguvuni Maria akija msibani kuliko kufanya hivyo kama akizikwa Rorya maana wanaume wa Tarime na Rorya wana uwezo wa kumlinda dhidi ya Polisi wanaopokea maelekezo ya CCM.

Na kwa kuwa Maria alipewa taarifa na wasamaria wema akaamua kutokuja.

Hii ni ajabu na aibu kulazimisha maziko ya Prof. Sarungi Dar kwa ajili ya kumkamata binti yake.

Huyu Mama atahangaika ila hakika mwaka huu hatoboi. Amelaaniwa
Ccm Hawana akili
Hii ni ajabu na aibu kulazimisha maziko ya Prof. Sarungi Dar kwa ajili ya kumkamata binti yake.
 
Hii ndio sababu kubwa ya Prof. Sarungi kuzikwa Kinondoni.

Kwa ubavu serikali iliingilia kati na kuteka msiba na kulazimisha Marehemu Sarungi kuzikwa Dar.

Kwa muda mrefu Serikali ya Samia inamtafuta Maria Sarungi kwa udi na uvumba.

Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi kumtia nguvuni Maria akija msibani kuliko kufanya hivyo kama akizikwa Rorya maana wanaume wa Tarime na Rorya wana uwezo wa kumlinda dhidi ya Polisi wanaopokea maelekezo ya CCM.

Na kwa kuwa Maria alipewa taarifa na wasamaria wema akaamua kutokuja.

Hii ni ajabu na aibu kulazimisha maziko ya Prof. Sarungi Dar kwa ajili ya kumkamata binti yake.

Huyu Mama atahangaika ila hakika mwaka huu hatoboi. Amelaaniwa
Mwisho wa ubaya ni aibu
 
Mbona wewooo...😳
 

Attachments

  • downloadfile-16.jpg
    downloadfile-16.jpg
    214 KB · Views: 1
Hii ndio sababu kubwa ya Prof. Sarungi kuzikwa Kinondoni.

Kwa ubavu serikali iliingilia kati na kuteka msiba na kulazimisha Marehemu Sarungi kuzikwa Dar.

Kwa muda mrefu Serikali ya Samia inamtafuta Maria Sarungi kwa udi na uvumba.

Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi kumtia nguvuni Maria akija msibani kuliko kufanya hivyo kama akizikwa Rorya maana wanaume wa Tarime na Rorya wana uwezo wa kumlinda dhidi ya Polisi wanaopokea maelekezo ya CCM.

Na kwa kuwa Maria alipewa taarifa na wasamaria wema akaamua kutokuja.

Hii ni ajabu na aibu kulazimisha maziko ya Prof. Sarungi Dar kwa ajili ya kumkamata binti yake.

Huyu Mama atahangaika ila hakika mwaka huu hatoboi. Amelaaniwa
Kawadanganye nyumbu wenzako huko. Shithole mkubwa!
 
SIJUI BWANA, MAMBO YENU, ILA NAAMINI ANGEZIKWA POPOTE TANZANIA KAMA WANA NIA YA KUKUMKAMATA WASINGESHINDWA, SABABU ANAZIKIWA MTWARA.
.LABDA ANGEZIKWA NJE YA NCHI.
 
Back
Top Bottom