Mazishi ya Prof. Sarungi: Serikali ililazimisha azikwe Dar ili kumkamata Maria Sarungi

Mazishi ya Prof. Sarungi: Serikali ililazimisha azikwe Dar ili kumkamata Maria Sarungi

Hii ndio sababu kubwa ya Prof. Sarungi kuzikwa Kinondoni.

Kwa ubavu serikali iliingilia kati na kuteka msiba na kulazimisha Marehemu Sarungi kuzikwa Dar.

Kwa muda mrefu Serikali ya Samia inamtafuta Maria Sarungi kwa udi na uvumba.

Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi kumtia nguvuni Maria akija msibani kuliko kufanya hivyo kama akizikwa Rorya maana wanaume wa Tarime na Rorya wana uwezo wa kumlinda dhidi ya Polisi wanaopokea maelekezo ya CCM.

Na kwa kuwa Maria alipewa taarifa na wasamaria wema akaamua kutokuja.

Hii ni ajabu na aibu kulazimisha maziko ya Prof. Sarungi Dar kwa ajili ya kumkamata binti yake.

Huyu Mama atahangaika ila hakika mwaka huu hatoboi. Amelaaniwa
Maziko yanahusu maamuzi ya familia zaidi. Serikali inatakiwa kuwezesha tu.
 
Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi kumtia nguvuni Maria akija msibani kuliko kufanya hivyo kama akizikwa Rorya maana wanaume wa Tarime na Rorya wana uwezo wa kumlinda dhidi ya Polisi wanaopokea maelekezo ya CCM.
Ina maana Mura wote wa Dar ni tepetepe
 
Yaani wanaume wa rolya wanaweza kuidhibiti serikali.?
Unaijua serikali mkuu.?
Unajua hata Rais sio serikali.?
 
Hii ndio sababu kubwa ya Prof. Sarungi kuzikwa Kinondoni.

Kwa ubavu serikali iliingilia kati na kuteka msiba na kulazimisha Marehemu Sarungi kuzikwa Dar.

Kwa muda mrefu Serikali ya Samia inamtafuta Maria Sarungi kwa udi na uvumba.

Hivyo walijua kuwa kama wakilazimisha msiba uwe Dar ni rahisi kumtia nguvuni Maria akija msibani kuliko kufanya hivyo kama akizikwa Rorya maana wanaume wa Tarime na Rorya wana uwezo wa kumlinda dhidi ya Polisi wanaopokea maelekezo ya CCM.

Na kwa kuwa Maria alipewa taarifa na wasamaria wema akaamua kutokuja.

Hii ni ajabu na aibu kulazimisha maziko ya Prof. Sarungi Dar kwa ajili ya kumkamata binti yake.

Huyu Mama atahangaika ila hakika mwaka huu hatoboi. Amelaaniwa
Wanaume Kama mabinti

Kwa ukoo wa sarungi

Kuna mtu wa kumshurutisha pale??
Mbaaaf sana
 
Angefikaje Rorya kutoka nje ya nchi mkuu si watamkamatia Airport au border! Au ataruka kama ALADINI mpaka Rorya
 
Huenda marehemu aliacha wosia kwa familia yake azikwe Dar.
Vinginevyo hata ingekuwa Rorya serikali inao uwezo wa kumkamata kama ingetaka.
 
SIJUI BWANA, MAMBO YENU, ILA NAAMINI ANGEZIKWA POPOTE TANZANIA KAMA WANA NIA YA KUKUMKAMATA WASINGESHINDWA, SABABU ANAZIKIWA MTWARA.
.LABDA ANGEZIKWA NJE YA NCHI.
Umeongea point kubwa, kuna watu wanaingilia familia za watu

Ni kina sarungi ndio wameamua pa kuzika, haituhusu
 
Chai chapati 2.jpg
 
Acha upotoshaji! kila kitu mnachukulia siasa mbaka misiba ya wazazi wenu mnaifanyia siasa! This is wrong!
 
Thanks to JF you peope can get away with anonymity.

Ukiandika upuuzi huu, kwenye media yako; unaweza thibitisha.

Yaani watanzania wanadhani wanaweza andika upuuzi wowote uliokichwani mwao and it’s OK.

Mtu kama Maria Sarungi na Eric Kabendera; wamejistukia tu (it’s obvious ni compromised individuals).

Lakini si tishio la nchi ya kuwadhuru kwa vifo, wanajihami tu kwa madhambi yao.
 
Umeishia darasa la ngapi hadi uandike utopolo huu.
Maria anathreat zipi kwa serikali hadi iwe na interest ya kumkamata
 
Back
Top Bottom